Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
NINI ITASAIDIA KUEPUSHA VIPIGO NA MAUAJI BAINA YA WANANDOA?
Mwanamke hii inaweza kukusaidia mwanamke Kijana ambaye unaingia Ndoani.
1. Hakikisha kabla hujaolewa uwe na Elimu sahihi juu ya Ndoa.
2. Unapoamua kwamba unataka kuolewa hakikisha unatafuta nguvu hizi tano ziwe kwako.
i. Nguvu ya Imani
ii. Nguvu ya Akili
iii. Nguvu ya malezi
iv. Nguvu ya Mapenzi na
v. Nguvu ya Uchumi
3. Unapoamua kuingia ndoani hakikisha unaolewa na mtu unayempenda nasio mtu wa kufanya maisha. Olewa na mtu anayekupenda lakini sio wa kufanya maisha (Hii inaeleweka)
4. Ishi Uanamke, yani Usipoteze Uanamke wako kwa gharama zozote zile. Ni kigezo kikubwa cha kuepusha mengi.
5. Ndani ya ndoa usitembelee madonda ama maumivu ya mahusiano uliyoyapitia zamani.
Mwanamke hii inaweza kukusaidia mwanamke Kijana ambaye unaingia Ndoani.
1. Hakikisha kabla hujaolewa uwe na Elimu sahihi juu ya Ndoa.
2. Unapoamua kwamba unataka kuolewa hakikisha unatafuta nguvu hizi tano ziwe kwako.
i. Nguvu ya Imani
ii. Nguvu ya Akili
iii. Nguvu ya malezi
iv. Nguvu ya Mapenzi na
v. Nguvu ya Uchumi
3. Unapoamua kuingia ndoani hakikisha unaolewa na mtu unayempenda nasio mtu wa kufanya maisha. Olewa na mtu anayekupenda lakini sio wa kufanya maisha (Hii inaeleweka)
4. Ishi Uanamke, yani Usipoteze Uanamke wako kwa gharama zozote zile. Ni kigezo kikubwa cha kuepusha mengi.
5. Ndani ya ndoa usitembelee madonda ama maumivu ya mahusiano uliyoyapitia zamani.