kusudio langu lilikua la kiuchumiUpungufu wa ongezeko la UKIMWI maana mwenge unapolala sehemu huwa unachochea ngono kwa wenyeji na kuongeza idadi ya waathirika
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Ukimwi ni uchumi hospitali zinaongeza pato na kodi inaongezeka mzunguko wa hela unakuwa mzurikusudio langu lilikua la kiuchumi