NINI KAZI YA MSAJILI WA MAHAKAMA?

gubwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2016
Posts
299
Reaction score
132
Wadau mwenye kufaham majukum ya hawa watu, msajili wa mahakama anijuze, maana nasikiaga kwenye kesi nyingi Jaji au Hakimu anawaambia kwamba mtajulishwa tarehe ya kesi na msajili wa mahakama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…