Nini kifanyike ili kukomesha masuala ya kihalifu hasa ya utekaji?

Nini kifanyike ili kukomesha masuala ya kihalifu hasa ya utekaji?

Mr-Njombe

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
64
Reaction score
122
Kumekua na wimbi la matukio mbali mbali yameripotiwa kutokea nchini hivi karibuni.

Unamaoni gani kwa Serikali, vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na kwa wananchi kwa ujumla kuhusu matendo haya ambayo yamekua yakiripotiwa mara kadha wa kadha ili yakome kabisa, kwasababu yamekua yakiichafua nchi yetu kimataifa, na baadae yanaweza pelekea madhara kiuchumi kwani watu watakua wakiishi kwa hofu na hivyo shughuli za uzalishaji kua duni!

Ahsante.
 
nadhani kuna haja sasa kwa kituo cha demokrasia nchini, TCD ndiyo iwe msimamizi wa chaguzi ndani ya vyama vya siasa nchini ili kudhibiti wahuni kung'ang'ania madaraka na kujipenyeza kihuni kwa rushwa na kuwaumiza wengine kwaajili tu ya nafasi za uongozi :pulpTRAVOLTA:
 
Kumekua na wimbi la matukio mbali mbali yameripotiwa kutokea nchini hivi karibuni.

Unamaoni gani kwa Serikali, vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na kwa wananchi kwa ujumla kuhusu matendo haya ambayo yamekua yakiripotiwa mara kadha wa kadha ili yakome kabisa, kwasababu yamekua yakiichafua nchi yetu kimataifa, na baadae yanaweza pelekea madhara kiuchumi kwani watu watakua wakiishi kwa hofu na hivyo shughuli za uzalishaji kua duni!

Ahsante.
Tuitoe ccm madarakani
 
Mzizi wa yote ni chama kilichopo madarakani. Kipishe mabadiliko sasa watu waje kuchukua hatua tuanze upya.

Asante.
 
Kumekua na wimbi la matukio mbali mbali yameripotiwa kutokea nchini hivi karibuni.

Unamaoni gani kwa Serikali, vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na kwa wananchi kwa ujumla kuhusu matendo haya ambayo yamekua yakiripotiwa mara kadha wa kadha ili yakome kabisa, kwasababu yamekua yakiichafua nchi yetu kimataifa, na baadae yanaweza pelekea madhara kiuchumi kwani watu watakua wakiishi kwa hofu na hivyo shughuli za uzalishaji kua duni!

Ahsante.
Uharamia haukomeshwi kwa matamko au kwa vifungu vya kisheria, Dr Tulia alikuwa sawa kusema vile lakini hatukumuelewa.

Unyama (evilness) ni silka ya binadamu, ipo ndani ya DNA haifundishwi kutoka katika shule yoyote ile.
 
Kumekua na wimbi la matukio mbali mbali yameripotiwa kutokea nchini hivi karibuni.

Unamaoni gani kwa Serikali, vyombo vya ulinzi na usalama pamoja na kwa wananchi kwa ujumla kuhusu matendo haya ambayo yamekua yakiripotiwa mara kadha wa kadha ili yakome kabisa, kwasababu yamekua yakiichafua nchi yetu kimataifa, na baadae yanaweza pelekea madhara kiuchumi kwani watu watakua wakiishi kwa hofu na hivyo shughuli za uzalishaji kua duni!

Ahsante.
Watu tuiondoe CCM mapema.
 
Katiba mpya ndo itayofuta mauchafu yote ya hicho chama tawala
Kinachofikirisha ni kuona mauaji ya huyo mwanasiasa na mengineyo yanatokea mwaka huu wa uchaguzi wa serikali za mitaa, ukiunganisha dots unapata dhana zisizo nzuri kuwemo akilini mwa mtu lakini zinaweza kuwa ndio uhalisia.
 
Mbali na kudai watoe utambulisho wao, ni wakati muafaka sasa kwa raia wanaojitathimini na kujiona wanaweza fanya mabadiriko, kumiliki silaha kihalali.

Watu hawa wakishindwa jitambulisha vema, unaweza jihami. Wakishauliwa wawili watatu wanaweza badilisha njia za kujitambulisha na pengine yatapungua
 
Back
Top Bottom