Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Chadema watasema tupate katiba mpya
Sahihi ✔️Katiba mpya iliyo imara katika kuwawajibisha watawala
Achana na CDM weka hoja nini kifanyike!!Chadema watasema tupate katiba mpya
Akili itamudu vp ufisadi than sheria kali?Akili
Well, but tatizo ni kwamba hatujaweka misingi imara ya kusimamia tatizo hilo, cz ikiwepo mifano ya viongoz wakishughulikiwa kusawasawa kwa sheria kali, ita reflect kwa wananchi nao wataogopa kufisadi maan wanaona viongoz wakifungwa maisha gerezani!!Yesu arudi labda
Utamaduni wa ubinafsi ndio chanzo cha kila kitu, kila mtanzania ni mpenda rushwa pale anapopokea au kunufaika nayo.
Tunaichukia rushwa pale inapotuumiza tu.
Rushwa tunaipenda mno wadanganyika kiasi kwamba imetamalaki kunzia viunga vya Ikulu mpaka kwa mjumbe wa makumi .
Hakuna uwajibikaji than sheria kali, hakuna!! Ndo maan vitabu vya dini kuna sheria, mataifa yote kuna sheria ili kumuwajibisha mkosaji!! But not akili kwamba itasaidia hilo
Mkuuu hapa umesema jambo muhimu san na hilo ndo litakua muarobaini!!Hebu tuwaige wachina wanachofanya kuhusu rushwa na ufisadi.
Umeielewa hiyo maana ya akili ?Hakuna uwajibikaji than sheria kali, hakuna!! Ndo maan vitabu vya dini kuna sheria, mataifa yote kuna sheria ili kumuwajibisha mkosaji!! But not akili kwamba itasaidia hilo
Tiba Bora sio katiba mpya pekee, tuanze matumizi ya Artificial intelligence kuanzia mashirika ya kiserikali kama TRA, TAKUKURU, TBS.Kumekua na jitihada nyingi ingawa sio halisi za kupambana na ufisadi mpaka ukaundwa Mahakama ya mafisad! Binafsi naamin katika sheria kali ambazo zitapatikana kupitia katiba mpya. Hatuwez kamwe kupambana na ufisadi, rushwa na ubadhirifu wa mali za umma kwa mfumo huu wa utawala na katiba iliyopo. Kibaya zaid anaepigana na ufisadi ndio wa kwanza kuwapa kinga supika plus jaji!! Nchi hii uzalendo bado sana!!View attachment 2529677