Hapa brother ili viwe laini unatakiwa ufanye lifuatalo
".Jichambie mikono yako ipasavyo"
Salam kwenu madokta
samahani; naomba mnifahamishe maana ametumia lotion nyingi lakin hazina msaada kwake
bado viganja vyake ni vigum kama unyayo wa askari wa wanyama pori...
havileti stim kabisa yan!
nawasilisha!!
Salam kwenu madokta
samahani; naomba mnifahamishe maana ametumia lotion nyingi lakin hazina msaada kwake
bado viganja vyake ni vigum kama unyayo wa askari wa wanyama pori...
havileti stim kabisa yan!
nawasilisha!!
Kwanza angalia kazi anazozifanya kwa viganja kama kulima, kusugua masufuria au chochote kigumu, kufyeka etc. atumie gloves ngumu ili asiathiri ngozi ya viganja..... oooh bye nawahi lift
Kama huna la kujibu acha kucomment mbona wawa sii Mstaarabu bwana. Sii wote wapitao humu ni Wahuni...Jirekebishe Mjomba.
Naunga mkono hojaUnataka mkono uwe laini ili uchepuke na nyeto .
Pole sana ngoja wake hasa akina mama wanajua. Ila inasikitisha sana mtu anaomba msaada halafu mijiti mingine mtu mzima hovyo analeta kejeli tena kwa lugha ambayo si nzuri. Kama huna mchango kwa ombi la mtu ni bora upite tu si lazima ku comment chochote. Pole sana mleta mada ila jua humu JF kuna waungana na vijitu!!! Waungwana watakupa ushauri mzuri sana uwe nasubira watakujibu. Uwe active kufuatilia thread yako ili kuifanya iwe live maana umeianzisha wakati wa kuchelewa watu wa upende wa Tz wanakuwa busy kurudi majumbani ila wakitulia watajibu, wa majuu nao wamo humu watakusaidia. JF ina msaada sana kwa mambo mengi, kuna diverse knowledge.
mkuu unamaanisha vaseline mafuta ya jelly?