Nini kifanyike kudhibiti matumizi mabaya ya Bima?

Nini kifanyike kudhibiti matumizi mabaya ya Bima?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Nadhani ‘Life insurance policy’ ni moja ya vyanzo vikubwa sana vya mauaji. Unless otherwise hakikisha yule beneficiary hajui, otherwise atakutafutia namna akuue ufe kabla ya siku zako ili aanze kufaidi matunda ya bima aliyowekewa.

Pia bima kubwa imekuwa ni chanzo cha wahindi kuchoma moto mahoteli yao hovyo hovyo pamoja na waarabu wamekuwa na michezo ya kuchoma moto majengo yao ili tu walipwe bima. Pia, wapo wanaochoma moto magari ya bei mbaya hasa malori na mabasi ili walipwe mapya.

Nini kifanyike kudhibiti hali hii
 
Kuna wengine wanaiba magari yao yaliyochoka na kwenda kuyachinja kwa ajili ya spareparts, huku bima ikimlipa gari mpya kabisaaa, brandnew! Wapo wanaounguza matanker ya mafuta yaliyokuwa tupu na kwenda kudai walipwe na mafuta full kana kwamba tanker lilikuwa na mafuta na yameungua yote...
 
Mkuu, biashara ni technique kila mtu ana mbinu yake, calm down fanya yako maana haikupunguzii chochote.
 
Back
Top Bottom