GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nilikuwa najiuliza kwanini watu wengi husema kuwa kama usipomalizia Kibanda chako au usipojenga Kipindi cha Uchaguzi Mkuu (hasa katika Nchi za Afrika) basi sahau tena kujeng.
Kwani Kipindi hicho Pesa zinakuwa nyingi na za Kumwaga huko Mitaani ila sasa nimeshaelewa walichokuwa wakikimaanisha.
Pia soma: Rushwa na ufisadi bado vimekithiri katika nchi nyingi za Afrika licha ya jitihada zinazofanyika kuikomesha
Kwani Kipindi hicho Pesa zinakuwa nyingi na za Kumwaga huko Mitaani ila sasa nimeshaelewa walichokuwa wakikimaanisha.
Pia soma: Rushwa na ufisadi bado vimekithiri katika nchi nyingi za Afrika licha ya jitihada zinazofanyika kuikomesha