Habari wataalam,
Ni dawa gani au hatua zipi zichukuliwe kukabiliana na Uric Acid iliyozidi mwilini? Vipimo vya hospital vimeonesha kuwa kuna uric acid nyingi kwenye damu kufikia mpaka 750 (wataalam watakuwa wameelewa).
Hali imekuwa mbaya kiasi kwamba miguu inachoka sana baada ya kusimama hata dakika 5 tu japo haivimbi.
Asanteni
Ni dawa gani au hatua zipi zichukuliwe kukabiliana na Uric Acid iliyozidi mwilini? Vipimo vya hospital vimeonesha kuwa kuna uric acid nyingi kwenye damu kufikia mpaka 750 (wataalam watakuwa wameelewa).
Hali imekuwa mbaya kiasi kwamba miguu inachoka sana baada ya kusimama hata dakika 5 tu japo haivimbi.
Asanteni