change your diet, eat organic food na tumia mitishamba.Habari wataalam,
Ni dawa gani au hatua zipi zichukuliwe kukabiliana na Uric Acid iliyozidi mwilini? Vipimo vya hospital vimeonesha kuwa kuna uric acid nyingi kwenye damu kufikia mpaka 750 (wataalam watakuwa wameelewa).
Hali imekuwa mbaya kiasi kwamba miguu inachoka sana baada ya kusimama hata dakika 5 tu japo haivimbi.
Asanteni
Mkuu BLACKTYGA, umemshauri mwanajamvi mwenzetu kutumia organic food na mitishamba katika kupambana na ueic acid mwilini, mkuu nami pia nina tatizo hili la ueic acid kupanda, mkuu unaonaje kqma utaainisha ni namna gani ya kutumia hiyo mitishamba.change your diet, eat organic food na tumia mitishamba.
Shukran Mzee23, kwani nami pia ni muhanga wa tatizo hilo, swali langu ni je ndizi hizo ziliwe kwa muda gani? naomba jibu mzee23 kama hutojali.Kula ndizi mbivu( ambazo bado zina ukijani hazijaiva sana) angalau tatu kwa siku
Fanya kama mlo tu mkuu.. iwe desturi ya kila siku maishan kula ndiz mara ka maraShukran Mzee23, kwani nami pia ni muhanga wa tatizo hilo, swali langu ni je ndizi hizo ziliwe kwa muda gani? naomba jibu mzee23 kama hutojali.
Ahsante mzee23Fanya kama mlo tu mkuu.. iwe desturi ya kila siku maishan kula ndiz mara ka mara
Naikubali Sana hiyo dawa. Imenisaidia sanaDawa hiyo.
Kidonge kimoja kila siku.
Dose ni siku 30.
Unameza muda uleule kila siku mpaka umalize dose.
Matokeo baada ya siku kumi za matumizi sahihi.
View attachment 1993927
use kigelia or any organic herbal that tend to cleansing the blood ( rich in iron florine)Mkuu BLACKTYGA, umemshauri mwanajamvi mwenzetu kutumia organic food na mitishamba katika kupambana na ueic acid mwilini, mkuu nami pia nina tatizo hili la ueic acid kupanda, mkuu unaonaje kqma utaainisha ni namna gani ya kutumia hiyo mitishamba.
Shukran mkuu.use kigelia or any organic herbal that tend to cleansing the blood ( rich in iron florine)
Kumbe wengi tuna tatizo hili? Vipi kwako Mkuu imeisha kabisa?Naikubali Sana hiyo dawa. Imenisaidia sana
Nikitumia dawa kwa kipindi Fulani inashuka nakuwa normal, then nastop dawa. Nawezakaa Hadi miezi 9 nikiwa fresh.Kumbe wengi tuna tatizo hili? Vipi kwako Mkuu imeisha kabisa?
Aiseeeee...Nikitumia dawa kwa kipindi Fulani inashuka nakuwa normal, then nastop dawa. Nawezakaa Hadi miezi 9 nikiwa fresh.
Asilimia kubwa wanaosuffer na hii kitu kipengele cha pombe kinakuwa mtihani sanaTumia moja wapo ya dawa hz;
-Allopurinol
-Colchicine
-Febuxostat
Pia punguza sana au epuka kula nyama nyekundu na unywaji wa bia
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app