Sio tijaHongezeni mshahara tu maana we ukipanda gari lisaa limoja unasinzia wakati dereva anakaa macho Masaa nane kazi ngumu hii
Dawa ni dereva Mwenyewe kujihisi amechoka aegeshe pembeni Apige usingizi/apumzike
Mzima kweli wewe?Tumswalie mtume na kufanya swala sis wenyewe ,hakika ajal zingine ni majin husababisha