Mpaka sasa sijaona ishara zozote za JK kushindwa uchaguzi..Je kama kutolewa kifanyinye nini?Ajitokeze mtu ndani ya CCM au upinzani waungane kuwa na nguvu moja?
Je kwa wabunge na Madiwani tunahitaji viongozi wa wenye sifa gani?Bila kuzingatia Chama,Dini,kabila na nk?
Wananchi wetu wapate elimu gani na itawafikiaje ili waweze kuchagua viongozi wanao wafaa?
Wadau wa JF watawezaje kuwa part na changamoto katika kueneza elimu hio kwa waTanzania wengi ili kuweza kuepuka matatizo yanayo jirudia kila uchaguzi.
Je kwa wabunge na Madiwani tunahitaji viongozi wa wenye sifa gani?Bila kuzingatia Chama,Dini,kabila na nk?
Wananchi wetu wapate elimu gani na itawafikiaje ili waweze kuchagua viongozi wanao wafaa?
Wadau wa JF watawezaje kuwa part na changamoto katika kueneza elimu hio kwa waTanzania wengi ili kuweza kuepuka matatizo yanayo jirudia kila uchaguzi.