Kiyosaki i
Member
- Aug 12, 2021
- 18
- 11
Msaada inakuaje pale mtu anapoingia ofisini (WEO) au (VEO), ghafla baada ya kupewa utaratibu anaotakiwa kuufata anaananza kumtukana kiongozi huyu.
au hata kwenye mkutano kiongozi kutukanwa
kisheria Nini kinatakiwa kufanyika
au hata kwenye mkutano kiongozi kutukanwa
kisheria Nini kinatakiwa kufanyika