Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,891
Thread ya Lizzy(Zawadi ya ngono) imeongeza sintofaham kwenye ubongo wangu,hasa michango ya waliochangia.Nilikua najiuliza maswali mengi sana.Hivi tutaweza kurudisha nidham kwenye mahusiano kama haponyuma?Siku hizi watu wanabakana hovyo(watoto na mateenage wa kike na kiume ndo wahanga wakubwa)ubinadamu umeisha?Zamani ndoa zilikua zinafungwa wahusika walikua hawajagusana(sex)tena wengine walikua hawajuani yaani walikua hawajaonana!Unaijua sura ya mkeo/mumeo siku ya harusi,na ndoa inadumu miaka zaidi ya 70!
Leo vijana wa kike na kiume wanapeana miili tena wengine kwa shukrani baada ya kusaidiana hesabu darasani!Ukikataa kushiriki tendo la ndoa unaonekana mshamba na hujui ladha ya maisha.Bikra ilikua na thamani hapo kabla leo binti akiwa nayo anaonekana mshamba,vijana wa kiume nao wanataka kuolewa,wanakimbizana mitaani na mabinti wakigombea wanaume.
Nidhamu ya kale aliyokua anapewa mama imefutika mithili ya mshumaa kwenye moto,sijui sababu ni yeye mama kukataa kumlea mwanae na kwenda kutafuta vibarua baada ya mumewe kutokuacha hela ya matumizi na kuipeleka baa!Heshima ya baba haipo,sijui ameipoteza mwenyewe kwa kufanya mambo ya kijinga kama ulevi,kutelekeza familia na kwenda kula nyama choma na kina dada poa?Yaani ni vurugu.Jamani tufanye nini?Tutaweza kuurudisha utu wa kale unaoisha leo?Nilipokua nasoma wachangiaji wa thread ya Lizzy(Zawadi ya ngono),baadhi waliunga mkono rushwa ya ngono,very SAD!Kali zaidi ni kwenye thread ya Kaunga(aliyemfumania mumewe akimbaka HG)wapo waliomtetea mbakaji,inakera sana.Tumefika hapa.Tuifanye nini jamii yetu?
Leo vijana wa kike na kiume wanapeana miili tena wengine kwa shukrani baada ya kusaidiana hesabu darasani!Ukikataa kushiriki tendo la ndoa unaonekana mshamba na hujui ladha ya maisha.Bikra ilikua na thamani hapo kabla leo binti akiwa nayo anaonekana mshamba,vijana wa kiume nao wanataka kuolewa,wanakimbizana mitaani na mabinti wakigombea wanaume.
Nidhamu ya kale aliyokua anapewa mama imefutika mithili ya mshumaa kwenye moto,sijui sababu ni yeye mama kukataa kumlea mwanae na kwenda kutafuta vibarua baada ya mumewe kutokuacha hela ya matumizi na kuipeleka baa!Heshima ya baba haipo,sijui ameipoteza mwenyewe kwa kufanya mambo ya kijinga kama ulevi,kutelekeza familia na kwenda kula nyama choma na kina dada poa?Yaani ni vurugu.Jamani tufanye nini?Tutaweza kuurudisha utu wa kale unaoisha leo?Nilipokua nasoma wachangiaji wa thread ya Lizzy(Zawadi ya ngono),baadhi waliunga mkono rushwa ya ngono,very SAD!Kali zaidi ni kwenye thread ya Kaunga(aliyemfumania mumewe akimbaka HG)wapo waliomtetea mbakaji,inakera sana.Tumefika hapa.Tuifanye nini jamii yetu?