Pre GE2025 Nini kilichosababisha Tundu Lissu kukwepa mdahalo wa kisiasa na mzee Wassira kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba?

Pre GE2025 Nini kilichosababisha Tundu Lissu kukwepa mdahalo wa kisiasa na mzee Wassira kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kwamba pamoja na uzee wake,

Lakini kumbe makamu mwenyekiti wa CCM bara, mzee Stephen Wasira ni vibrant, powerful na influencial politician, kiasi kwamba mtu anaejiita msomi, mwenye mdomo na makelele mengi kula kona na kukacha fursa hiyo muhimu ya kujipambanua kwa umma?

Ndugu mdau,

Tundu Lisu ameeleza sababu yoyote yenye mashiko kweli ya kutokomea kusikojulikana baada ya Mzee wasira kuonyesha utayari wa kushiriki mdahalo wa kisiasa dhidi ya mwana siasa yeyote nchini au ni woga tu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Kwamba pamoja na uzee wake,
lakini kumbe makamu mwenyekiti wa CCM bara, mzee Stephen Wasira ni vibrant, powerful na influencial politician, kiasi kwamba mtu anaejiita msomi, mwenye mdomo na makelele mengi kula kona na kukacha fursa hiyo muhimu ya kujipambanua kwa umma?

Ndugu mdau,
Tundu Lisu ameeleza sababu yoyote yenye mashiko kweli ya kutokomea kusikojulikana baada ya Mzee wasira kuonyesha utayari wa kushiriki mdahalo wa kisiasa dhidi ya mwana siasa yeyote nchini au ni woga tu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Muda utaongeaa.....tuipe muda na subraa
 
Muda utaongeaa.....tuipe muda na subraa
Raila Odinga aliwahi kukacha mdahalo 2022 akapigwa vibaya sana kwenye uchaguzi wa Kenya 2022,

hii fursa aliyoikwepa Lisu bila sababu yoyote yenye mashiko ni muhimu sana kwake, licha ya kwamba yeye pasipo kuona mbali anaona si muhimu 🐒
 
Kwamba pamoja na uzee wake,

Lakini kumbe makamu mwenyekiti wa CCM bara, mzee Stephen Wasira ni vibrant, powerful na influencial politician, kiasi kwamba mtu anaejiita msomi, mwenye mdomo na makelele mengi kula kona na kukacha fursa hiyo muhimu ya kujipambanua kwa umma?

Ndugu mdau,

Tundu Lisu ameeleza sababu yoyote yenye mashiko kweli ya kutokomea kusikojulikana baada ya Mzee wasira kuonyesha utayari wa kushiriki mdahalo wa kisiasa dhidi ya mwana siasa yeyote nchini au ni woga tu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wasira anatafuta ujiko tu. Ni sawa sawa na kamala harris kumuambia trump wafanye mdahalo ili kuona nani mwamba kati yao.
 
Wasira anatafuta ujiko tu. Ni sawa sawa na kamala harris kumuambia trump wafanye mdahalo ili kuona nani mwamba kati yao.
matokeo yake ilikuaje gentleman 🐒
 
Kwamba pamoja na uzee wake,

Lakini kumbe makamu mwenyekiti wa CCM bara, mzee Stephen Wasira ni vibrant, powerful na influencial politician, kiasi kwamba mtu anaejiita msomi, mwenye mdomo na makelele mengi kula kona na kukacha fursa hiyo muhimu ya kujipambanua kwa umma?

Ndugu mdau,

Tundu Lisu ameeleza sababu yoyote yenye mashiko kweli ya kutokomea kusikojulikana baada ya Mzee wasira kuonyesha utayari wa kushiriki mdahalo wa kisiasa dhidi ya mwana siasa yeyote nchini au ni woga tu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Ila Mh Lissu anakutesa sana, kwanini usijikite kwenye uchawa wako na Ccm kuliko kuwa jicho lako liko kwa CDM tu. Hivi kweli kama una akili unaweza kupoteza muda kufanya mdaharo na mtu kama huyo. Napendekeza Mh Lissu asitoe hata sababu maana atakuwa kajishusha. Wasira afanye huo mdaharo na Hashimu Rungwe kwani na yeye ni mwanasiasa na ndiye size yake.
 
Kwamba pamoja na uzee wake,

Lakini kumbe makamu mwenyekiti wa CCM bara, mzee Stephen Wasira ni vibrant, powerful na influencial politician, kiasi kwamba mtu anaejiita msomi, mwenye mdomo na makelele mengi kula kona na kukacha fursa hiyo muhimu ya kujipambanua kwa umma?

Ndugu mdau,

Tundu Lisu ameeleza sababu yoyote yenye mashiko kweli ya kutokomea kusikojulikana baada ya Mzee wasira kuonyesha utayari wa kushiriki mdahalo wa kisiasa dhidi ya mwana siasa yeyote nchini au ni woga tu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Huu ndio uzi wa kuondokea kuhusu cdm usiku huu, ama utaweka mwingine?
 
TL anamtaka Mama ndio size yake huyo.Hombe abakie na upuuzi wake na propaganda hana jipyaa
ni ngumu sana kwa mkuu wa nchi kuacha dhamana ya kulitumikia taifa, ati aende kupiga siasa na kibaka na tapeli wa siasa jukwaa moja,

gentleman,
hiyo haitokuja kuwahi kutokea Tanzania. Msaidizi wa Rais kuhusu masuala ya chama chake cha siasa ni makamu mwenyekiti, na ndio huyo Mzee Wasira 🐒
 
ni ngumu sana kwa mkuu wa nchi kuacha dhamana ya kulitumikia taifa, ati aende kupiga siasa na kibaka na tapeli wa siasa jukwaa moja,

gentleman,
hiyo haitokuja kuwahi kutokea Tanzania. Msaidizi wa Rais kuhusu masuala ya chama chake cha siasa ni makamu mwenyekiti, na ndio huyo Mzee Wasira 🐒
TL anamtaka Mama ....period
 
Ila Mh Lissu anakutesa sana, kwanini usijikite kwenye uchawa wako na Ccm kuliko kuwa jicho lako liko kwa CDM tu. Hivi kweli kama una akili unaweza kupoteza muda kufanya mdaharo na mtu kama huyo. Napendekeza Mh Lissu asitoe hata sababu maana atakuwa kajishusha. Wasira afanye huo mdaharo na Hashimu Rungwe kwani na yeye ni mwanasiasa na ndiye size yake.
Gentleman,
huenda anawatesa sana wale anao waomba omba wamchangie pocket money, pesa ya kula na kunywa bapa na nyama 🐒
 
Screenshot_20241219-190341_1.jpg
 
Ccm tumewastukia mnalazimisha mdahalo wa lisu na hiko kibabu ilikusudi kijifie jukwaani mumbambikie lisu kesi, hicho kibabu tutampa john pambalu apambane naye lkn sio lisu.
Kwamba pamoja na uzee wake,

Lakini kumbe makamu mwenyekiti wa CCM bara, mzee Stephen Wasira ni vibrant, powerful na influencial politician, kiasi kwamba mtu anaejiita msomi, mwenye mdomo na makelele mengi kula kona na kukacha fursa hiyo muhimu ya kujipambanua kwa umma?

Ndugu mdau,

Tundu Lisu ameeleza sababu yoyote yenye mashiko kweli ya kutokomea kusikojulikana baada ya Mzee wasira kuonyesha utayari wa kushiriki mdahalo wa kisiasa dhidi ya mwana siasa yeyote nchini au ni woga tu?🐒

Mungu Ibariki Tanzaniao
 
Lisu anaenda kwa timing. Kila mechi ina wakati wake Sahihi, wait for it

Target ya lisu si wasira, Target ni CCM .
Sure,
yupo vizuri mno kwenye timing ya kuomba kuchangiwa pesa ya pocket money, ya kunywa spirit drinks na nyama, for sure eneo hilo yuko chonjo mbaya sana gentleman 🐒
 
Kwamba pamoja na uzee wake,

Lakini kumbe makamu mwenyekiti wa CCM bara, mzee Stephen Wasira ni vibrant, powerful na influencial politician, kiasi kwamba mtu anaejiita msomi, mwenye mdomo na makelele mengi kula kona na kukacha fursa hiyo muhimu ya kujipambanua kwa umma?

Ndugu mdau,

Tundu Lisu ameeleza sababu yoyote yenye mashiko kweli ya kutokomea kusikojulikana baada ya Mzee wasira kuonyesha utayari wa kushiriki mdahalo wa kisiasa dhidi ya mwana siasa yeyote nchini au ni woga tu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
images (1).jpeg
 
Ccm tumewastukia mnalazimisha mdahalo wa lisu na hiko kibabu ilikusudi kijifie jukwaani mumbambikie lisu kesi, hicho kibabu tutampa john pambalu apambane naye lkn sio lisu.
acha upotoshaji gentleman,

hakuna anaelazimishwa kufanya mdahalo, bali makamo mwenyekiti wa CCM bara alionyesha tu utayari wa kushiriki mdahalo na mwanasiasa yeyote nchini,

Nadhani Lisu aliulizwa na muandishi wa habari ikiwa yupo tayari ama laaa,

sasa jibu lake la kukacha mdahalo huo hakuna alelielewa mpaka leo 🐒
 
Kwamba pamoja na uzee wake,

Lakini kumbe makamu mwenyekiti wa CCM bara, mzee Stephen Wasira ni vibrant, powerful na influencial politician, kiasi kwamba mtu anaejiita msomi, mwenye mdomo na makelele mengi kula kona na kukacha fursa hiyo muhimu ya kujipambanua kwa umma?

Ndugu mdau,

Tundu Lisu ameeleza sababu yoyote yenye mashiko kweli ya kutokomea kusikojulikana baada ya Mzee wasira kuonyesha utayari wa kushiriki mdahalo wa kisiasa dhidi ya mwana siasa yeyote nchini au ni woga tu?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Wewe si mzima... Yaani hujui hata maana ya mdahalo wa wagombea!
Mtu yeyote timamu anaenda kwenye mdahalo na mgombea mwenzake au mtu wa level yake wala si machawa!
Kama mnataka sana mdahalo why msimuandae chura kiziwi?
 
Back
Top Bottom