Of course Spirit Drinks na nyama ni muhimu maisha yenyewe tunapita.Sure,
yupo vizuri mno kwenye timing ya kuomba kuchangiwa pesa ya pocket money, ya kunywa spirit drinks na nyama, for sure eneo hilo yuko chonjo mbaya sana gentleman π
waelezee wadau gentleman π
Lisu akajadiliane na wastaafu kwani yeye ni afisa wa mafao?Kwamba pamoja na uzee wake,
Lakini kumbe makamu mwenyekiti wa CCM bara, mzee Stephen Wasira ni vibrant, powerful na influencial politician, kiasi kwamba mtu anaejiita msomi, mwenye mdomo na makelele mengi kula kona na kukacha fursa hiyo muhimu ya kujipambanua kwa umma?
Ndugu mdau,
Tundu Lisu ameeleza sababu yoyote yenye mashiko kweli ya kutokomea kusikojulikana baada ya Mzee wasira kuonyesha utayari wa kushiriki mdahalo wa kisiasa dhidi ya mwana siasa yeyote nchini au ni woga tu?π
Mungu Ibariki Tanzania
Akajadiliane na Mzee kama yule anayesahau SahauπππLisu akajadiliane na wastaafu kwani yeye ni afisa wa mafao?
Singinda wanadai anawaabisha sana na tabia yake ya kuomba omba kuchangiwa pesa wakati ana nguvu na akili ya kufanya kazi na kujitegemea,Of course Spirit Drinks na nyama ni muhimu maisha yenyewe tunapita.
au unataka achangishe ela ili aje kukuhonga ?
ohoo kumbe hiyo ndio sababu ya maana zaidi kwa kibaka mropokaji na tapeli huyo mwenye mdomo na makelele mengi ya kisiasa kukacha mdahalo na Mzee Wasira?Lisu akajadiliane na wastaafu kwani yeye ni afisa wa mafao?
kumbe hizo ndiyo sababu za maana kwa msomi tapeli mwenye mdomo na makelele mengi kula kona dhidi ya Mzee wasira?π€£Akajadiliane na Mzee kama yule anayesahau Sahauπππ
Subiri matusi kutoka kwa No Reform No Election.Kwamba pamoja na uzee wake,
Lakini kumbe makamu mwenyekiti wa CCM bara, mzee Stephen Wasira ni vibrant, powerful na influencial politician, kiasi kwamba mtu anaejiita msomi, mwenye mdomo na makelele mengi kula kona na kukacha fursa hiyo muhimu ya kujipambanua kwa umma?
Ndugu mdau,
Tundu Lisu ameeleza sababu yoyote yenye mashiko kweli ya kutokomea kusikojulikana baada ya Mzee wasira kuonyesha utayari wa kushiriki mdahalo wa kisiasa dhidi ya mwana siasa yeyote nchini au ni woga tu?π
Mungu Ibariki Tanzania
sasa mwenyewe akili mbona una mbwelambwela tu gentleman?Wewe si mzima... Yaani hujui hata maana ya mdahalo wa wagombea!
Mtu yeyote timamu anaenda kwenye mdahalo na mgombea mwenzake wala si machawa!
Kwanza ushamuita Mzeeni zipi sababu za maana kwa lisu kukacha mdahalo na Mzee Wasira?
Kwamba pamoja na uzee wake,
Lakini kumbe makamu mwenyekiti wa CCM bara, mzee Stephen Wasira ni vibrant, powerful na influencial politician, kiasi kwamba mtu anaejiita msomi, mwenye mdomo na makelele mengi kula kona na kukacha fursa hiyo muhimu ya kujipambanua kwa umma?
Ndugu mdau,
Tundu Lisu ameeleza sababu yoyote yenye mashiko kweli ya kutokomea kusikojulikana baada ya Mzee wasira kuonyesha utayari wa kushiriki mdahalo wa kisiasa dhidi ya mwana siasa yeyote nchini au ni woga tu?π
Mungu Ibariki Tanzania
Nadhani haikuwa sawa kumuweka ndugu yangu Mzee huyu peke yake,badala yake ilipaswa huo mdahalo uwe ni CCM Vs LISSU ndipo kungelikuwepo na msawazo.Kwamba pamoja na uzee wake,
Lakini kumbe makamu mwenyekiti wa CCM bara, mzee Stephen Wasira ni vibrant, powerful na influencial politician, kiasi kwamba mtu anaejiita msomi, mwenye mdomo na makelele mengi kula kona na kukacha fursa hiyo muhimu ya kujipambanua kwa umma?
Ndugu mdau,
Tundu Lisu ameeleza sababu yoyote yenye mashiko kweli ya kutokomea kusikojulikana baada ya Mzee wasira kuonyesha utayari wa kushiriki mdahalo wa kisiasa dhidi ya mwana siasa yeyote nchini au ni woga tu?π
Mungu Ibariki Tanzania
kwahiyo akaona bora kutoka nduki kisayansi kuliko fedheha dhidi ya Mzee wasira mwenye kila jibu la hoja mahususi ambayo angeibua Lisu, right?πLissu ni mropokaji mzuri. Akikaa na brain zinazotaka hoja, facts and figures, ni mtupu sana kichwani.
Ndio maana Kesi nyingi alizosimamia aliangukia pua.