Nini kilichotokea kwenye hii mechi ya man u vs Spur 4/2/2017

Nini kilichotokea kwenye hii mechi ya man u vs Spur 4/2/2017

CK Allan

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
2,781
Reaction score
6,139
Kwa bahati sikuweza kuangalia hii mechi Kipindi hicho lakini juzi kupitia Man u tv niliona hii game kwenye dakika ya 70 na kuendelea kipa wa man akaumia na ikabdi John oshea akae golini!

Je sub ziliisha ama?
 
Back
Top Bottom