CK Allan JF-Expert Member Joined Aug 14, 2013 Posts 2,781 Reaction score 6,139 Mar 5, 2019 #1 Kwa bahati sikuweza kuangalia hii mechi Kipindi hicho lakini juzi kupitia Man u tv niliona hii game kwenye dakika ya 70 na kuendelea kipa wa man akaumia na ikabdi John oshea akae golini! Je sub ziliisha ama?
Kwa bahati sikuweza kuangalia hii mechi Kipindi hicho lakini juzi kupitia Man u tv niliona hii game kwenye dakika ya 70 na kuendelea kipa wa man akaumia na ikabdi John oshea akae golini! Je sub ziliisha ama?
Ngororo JF-Expert Member Joined Jul 17, 2018 Posts 235 Reaction score 414 Mar 5, 2019 #2 2017????????? Sent using Jamii Forums mobile app
k29 JF-Expert Member Joined Dec 14, 2014 Posts 730 Reaction score 1,211 Mar 5, 2019 #3 Unaeza kubet game iliochezwa? Sent using Jamii Forums mobile app