Nini kiliikumba FBME mpaka ikafutiwa leseni? - Lawrence Mafuru aeleza

Kwanza TV

Member
Joined
May 2, 2017
Posts
33
Reaction score
69

Siku za karibuni tumepata taarifa mitandaoni na kutoka Benki Kuu ya Tanzania kuhusu kufutwa usajili benki ya kibiashara ya FBME.

Msimamizi wa Masuala ya Kisheria (Statutory Manager) wa FBME Lawrence Mafuru asema tuhuma za kutakatisha fedha na kuhifadhi fedha za kufadhili magaidi na madawa ya kulevya ndizo sababu kuu zilizosababisha kufungiwa benki.
 
nina wasiwasi hata na nkombozi itaelekea shimoni muda si muda
 
Bro Mafuru inabidi ukasalimie wazee, maana kila unapogusa panaanguka. Kiingereza kingii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…