MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
48 Laws of Power.Never outshine your master..
Hasa kama Boss wako mshamba
Kumbe mpka wese anapakwa?!Tokea ale Kiapo chake hakuna Nguo anayovaa isimpendeze na hata isivutie Machoni mwetu Wazee wa Kuchunguza na Kudadisi kila Kitu.
Siyo Siri Nguo alizokuwa akizivaa alipokuwa Makamu zilikuwa hazina Mvuto na zilizidi Kumzeesha Mithili ya Bibi Kizee mwenye Mkongojo wake.
Halafu naona hata Usoni Mama hivi sasa Rangi yake imezidi kuwa Nyeupe sana naomba Wahusika wapunguze Wese lake wakiwa wanampaka.
Long time no seeMh, sasa hv kila kitu kitakuwa issue, muda si mrefu mtasema ananenepa zamani alikuwa kakonda!
Tokea ale Kiapo chake hakuna Nguo anayovaa isimpendeze na hata isivutie Machoni mwetu Wazee wa Kuchunguza na Kudadisi kila Kitu.
Siyo Siri Nguo alizokuwa akizivaa alipokuwa Makamu zilikuwa hazina Mvuto na zilizidi Kumzeesha Mithili ya Bibi Kizee mwenye Mkongojo wake.
Halafu naona hata Usoni Mama hivi sasa Rangi yake imezidi kuwa Nyeupe sana naomba Wahusika wapunguze Wese lake wakiwa wanampaka.
Nipo aisee, habar za sikuLong time no see
Anazipeleka wapi? Au tu mradi chukiMwenda zake alikuwa anavuja kwa mabavu [emoji18]