Nini kilikuwa kinamzuia Mama Kunyuka Pamba za maana alipokuwa Makamu na sasa anazinyuka kweli kweli?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Tokea ale Kiapo chake hakuna Nguo anayovaa isimpendeze na hata isivutie Machoni mwetu Wazee wa Kuchunguza na Kudadisi kila Kitu.

Siyo Siri Nguo alizokuwa akizivaa alipokuwa Makamu zilikuwa hazina Mvuto na zilizidi Kumzeesha Mithili ya Bibi Kizee mwenye Mkongojo wake.

Halafu naona hata Usoni Mama hivi sasa Rangi yake imezidi kuwa Nyeupe sana naomba Wahusika wapunguze Wese lake wakiwa wanampaka.
 
Kumbe mpka wese anapakwa?!
 

Mwenda zake alikuwa anavuja kwa mabavu [emoji18]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…