Kwanza ilikuwa hivi:
Hivi kabla haja.......... alikuwa akisema nini? Tutafanya zaidi tuta mambo mambooo......
Mtu hadi unaanguka bado unatoa ahadi za uongo? Tena ukiwa umefunga, OMG!!!!
Kama ilivyo Newton's law of Motion, action hiyo ikaleta Reaction hii hapa chini:
mleta hii thread ana posti zake mfukoni anzotaka wana fj wazitumie
Mwezi ule hakwenda ku chande BladiWatu kibao huwa wanaanguka bafuni. Wala sioni cha kushangaza hapa. Lakini ni nadra sana kwa mtu kuanguka ghafla mbele ya halaiki kama hana kifafa. Kwa kuwa mabafu yanayotuamisha maji huwa siku zote yana utelezi, tunaamini kwamba aliteleza, hata mimi nimewahi kuteleza bafuni hiyo si ajabu. Lakini mtu yupo jukwaani, anahutubia na ghafla anaporomoka kama mawe yaliyosukumiwa bondeni, huyo kilimsibu nini?
Eid Mubarak wanaharakati na wakereketwa wenzangu na marafiki zangu.Ndugu tumsifu Yesu Kristo na bwana asifiwe kwa wengine.Sasa leo nimeamka nikatoka kutafuta gazeti ila sikuona cha maana sana magazetini.Nikaamua kuwasha computer yangu nikakuta desktop nimeweka ile picha ya Dr.Slaa akiwa hospitali alipovunjika mkono.Hivi ilikuwaje hadi akateleza bafuni na kuvunjika mkono????Kuna taarifa yoyote rasmi ya afya ya Dr.Slaa???Tuwekane wazi kama kuna mwenye habari.Magazetini hawakuweka details kabisa.
Once again Eid Mubarak na karibuni Tandale.Mwafrika,Solo,Usiyeonekana,Acid,Genekai and all the brothers.
Mungu Ibariki Tanzania
Dalili za kifaa huwa zikoje???
Kuanguka bafuni si inshu kubwa sababu ni nyingi na za msingi.Lakin mbele za watu mbaya zaidi ni mara tano tena sababu ukifikilia hazipo
Ana HIV, sasa kuna madawa anatumia ambayo anapaswa ale kabla ya kunywa dawa sasa kutokana na ubishi wake akakataa ndiyo maana akaanguka hata hivyo usishituke mganga wake jana katoa taarifa rasmi kwamba siyo ngoma ni amerogwa ndiyo maana alianguka na amemhakikishia usalama yaani hata anguka tena...binafsi Natamani azimie akiwa USA kule kwenye jimbo lake nsikia hato safiri miezi mitatu duuuuh wata m-miss....nikakuta desktop nimeweka ile picha ya Dr.Slaa akiwa hospitali alipovunjika mkono.Hivi ilikuwaje hadi akateleza bafuni na kuvunjika mkono????Kuna taarifa yoyote rasmi ya afya ya Dr.Slaa???Tuwekane wazi kama kuna mwenye habari.Magazetini hawakuweka details kabisa.
napenda kile kibwagizo .....kidumu chama cha mapinduzi.......kimyaaaaaaaaaaaaa tulieni tulieni!
1. Kusema AISEE
2. Kupiga mwereka(kuanguka)
3. Kujamba
Mama mdogo umefanya kazi nzuri lakini la kuvunda halina ubani.
Unaona siku zinavyokwenda mbele, vituko vinaongezeka, sasa kimeingia cha Shekhe Yahya! Yarabi tunusuru na ushirikina.
Kilichomsibu ndo kilichomsibu, yapo mengi ya kuongelea ila yale ya msingi ni bora zaidi na yanatakiwa yapewe kipaumbele.kama mtu huna la kupost ni bora uache kuliko kupost ujinga huu.tuongelee namna gani dr silaa atachukua nchi na si vinginevyo.