Elections 2010 Nini Kilimsibu?



Napenda kile kibwagizo .....Kidumu chama cha Mapinduzi.......kimyaaaaaaaaaaaaa tulieni tulieni!
 
Last edited by a moderator:

Unajua Rev. Masanilo, nilikuwa nafikiri huyu jamaa ana hoja kumbe ana target watu fulani fulani, sasa nimeamua kumfungia safari kama nilivyokuwa naenda na MS, anasumbua watu wanaotaka kujadili mambo ya maana. Sasa ni mimi na yeye wengine endeleeni kujadili ya msingi.
 
Last edited by a moderator:
Mwezi ule hakwenda ku chande Bladi
 

baba ako kikwete sijui kaanguka mara ngapi UNA idadi kamili ya mianguko yake?Unajua sababu zinazomwangusha Kikwete?Tunajua wengi wetu mbili tu za Jangwani za Bafuni ndo hatujui,za chumbani kwake pia hatujui,Mama Salma tupe details za Bwana ako(Oh sorry),...mzee lete detail za Baba ako Kikwete kuanguka na kwa nini zio tu oh anachoka sana oh sijui swaumu hizo bullshit...sababu za kitaalam zaidi sio za wadanganyika...pambafu wewe...ww hujaanguka bafuni ukipiga hata nyeto?
 
Lengo langu ni simple sana ujumbe uwafikie watanzania wanaosoma thread za TandaleOne kuwa rais wetu ana hali gani

 
Last edited by a moderator:
Kuanguka bafuni si inshu kubwa sababu ni nyingi na za msingi.Lakin mbele za watu mbaya zaidi ni mara tano tena sababu ukifikilia hazipo
 
Kuanguka bafuni si inshu kubwa sababu ni nyingi na za msingi.Lakin mbele za watu mbaya zaidi ni mara tano tena sababu ukifikilia hazipo

Halafu mara ngapi?

Formulae:
If Number fallings in a bathtub< Number of Fallings in a a public podium--->Good President
 
Kilichomsibu ndo kilichomsibu, yapo mengi ya kuongelea ila yale ya msingi ni bora zaidi na yanatakiwa yapewe kipaumbele.kama mtu huna la kupost ni bora uache kuliko kupost ujinga huu.tuongelee namna gani dr silaa atachukua nchi na si vinginevyo.
 
Mama mdogo umefanya kazi nzuri lakini la kuvunda halina ubani.
Unaona siku zinavyokwenda mbele, vituko vinaongezeka, sasa kimeingia cha Shekhe Yahya! Yarabi tunusuru na ushirikina.
 
Ana HIV, sasa kuna madawa anatumia ambayo anapaswa ale kabla ya kunywa dawa sasa kutokana na ubishi wake akakataa ndiyo maana akaanguka hata hivyo usishituke mganga wake jana katoa taarifa rasmi kwamba siyo ngoma ni amerogwa ndiyo maana alianguka na amemhakikishia usalama yaani hata anguka tena...binafsi Natamani azimie akiwa USA kule kwenye jimbo lake nsikia hato safiri miezi mitatu duuuuh wata m-miss....
 
napenda kile kibwagizo .....kidumu chama cha mapinduzi.......kimyaaaaaaaaaaaaa tulieni tulieni!

viiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiivaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ccccccccccccccccccccccmmmmmmmmmmmmmmmm
 
Mama mdogo umefanya kazi nzuri lakini la kuvunda halina ubani.
Unaona siku zinavyokwenda mbele, vituko vinaongezeka, sasa kimeingia cha Shekhe Yahya! Yarabi tunusuru na ushirikina.

JF's getting better:becky:
 
Kilichomsibu ndo kilichomsibu, yapo mengi ya kuongelea ila yale ya msingi ni bora zaidi na yanatakiwa yapewe kipaumbele.kama mtu huna la kupost ni bora uache kuliko kupost ujinga huu.tuongelee namna gani dr silaa atachukua nchi na si vinginevyo.

Kama yapi???Blah blah mingi.Ajenda moja kutwa kucha.Ovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…