Elections 2010 Nini Kilimsibu?

Au Jamaica akibembea, anahatari sana huyu mzee anajua afya yake si swali lakini haachi kubembea!!
 
Alilogwa na sheikh yahaya, na kamwambie asijaribu tena. Sasa hivi tumemwombea analindwa na nguvu za mungu.akimjaribu tena atakiona toka kwa muungu.
 
Alilogwa na sheikh yahaya, na kamwambie asijaribu tena. Sasa hivi tumemwombea analindwa na nguvu za mungu.akimjaribu tena atakiona toka kwa muungu.

Nje ya topic
 
Alilogwa na sheikh yahaya, na kamwambie asijaribu tena. Sasa hivi tumemwombea analindwa na nguvu za mungu.akimjaribu tena atakiona toka kwa muungu.

Out of the topic
 
Kwa nini msimuulize babu yenu Sheikh Yahya?
 
na kwenye umati wa watu huwa wanaanguka wangapi?

Dk Slaa anaafya nzuri taarifa zake ailiwekwa hadharani,tusidanganyane,Kikwete anaanguka kila siku Turiani alipoanguka je mtasemaje?Tusifananishe kuanguka kwa Dk Slaa na kikwete tena nitoe taarifa jana amelala kwenye hoteli ileile kwa maana hiyo tatizo lake siyo kama la Kikwete tukubali Ana tatizo na watwambie.Juu ya Dk waandishi tulienda hospitali na tukaonyeshwa X-rays na kupata taarifa zote za madaktari Kikwete wametueleza lini?Wengine tunajua na tunaushahidi msitudanganye mnataka tuseme?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…