Nini kilisababisha CHADEMA ikakosa mvuto?

Nini kilisababisha CHADEMA ikakosa mvuto?

Miaka ya kuanzia 2006 CHADEMA ilikuwa na mvuto sana nchini na CCM ilikuwa inawaogopa sana. Lakini ghafla baada ya uchaguzi wa mwaka 2015 CHADEMA ikajifikia kifo cha mende; je walikosea wapi?


Imeshindwa kuwa na kundi mahsusi. Inataka au inadhani iko kama CCM. kwa siasa za vyama vingi hasa unapokuwa new entrant hauwezi kuwa sawa na old grand party. CUF NA SASA ACTVWAZALENDO zinanguvu sana katika kakikundi kao. CHADEMA ichague ubara na Ukristo itafika mbali. Wao wajikite hapo. Lkn hizi mambo za kujifanya ni wa kila pande na kila mtu hawataweza. Wao wanatakiwa walenge kukamata Bunge kwa kura za Wakristo. Hawa waisalam wa Bara watagawanyika kati ya CCM, CUF, ACT
 
Nikiwa mkweli CHADEMA tulifanya kosa kubwa sana kumpokea LOWASA mwaka 2015.
Na hapo ndipo kosa lilipo anzia hata kusababisha mtikisiko ndani ya chama na uongozi wa juu.
 
Chadema imekosa mvuto kwa sababu ya mambo matatu 1 tamaa ya pesa wao wakioneshwa pesa wanasaliti mashabiki wao walifanya hivyo kwa lowassa wakarudia ilo kwa mama Samia alipowaita ikulu
2, kutetea ufisadi wakati walijijenga kama wapinga ufisadi baadae tukaona wanatetea wezi wa escrow wakawa watetezi wa barrick gold mtu akikamatwa kwa ufisadi wanasema anaonenwa sasa wananchi wanaona wanagutuka
3 ukabila na udini wamejidhiilisha kama chama cha watu wa kaskazini utaona mtu kama lema ana nguvu kubwa kwenye chama kuliko salim mwalim ambae ni vice chairman hiyo inatokana yeye ni mchaga ukiwa mchaga pale ni kama chama cha nyumbani unakuwa na nguvu na unasikilizwa ona mktutano wao wa juzi wamejaa maaskofu na wachingaji hakuna shekh ata mmoja
Chadema ni finished political party wamebakiza matusi watu wameichoka ccm ila hawaon chadema kama ni mbadala bado wannamin mkombozi wao atatokea mule mule ccm km ilivyokuwa magufuli
20230731_180804.jpg

Ona mktutano wa lissu huu ndio uhalisia wakiwa jamiifurm na twitter unaweza sema wana watu kumbe umu wanajiongelesha na kujifariji
 
Imeshindwa kuwa na kundi mahsusi. Inataka au inadhani iko kama CCM. kwa siasa za vyama vingi hasa unapokuwa new entrant hauwezi kuwa sawa na old grand party. CUF NA SASA ACTVWAZALENDO zinanguvu sana katika kakikundi kao. CHADEMA ichague ubara na Ukristo itafika mbali. Wao wajikite hapo. Lkn hizi mambo za kujifanya ni wa kila pande na kila mtu hawataweza. Wao wanatakiwa walenge kukamata Bunge kwa kura za Wakristo. Hawa waisalam wa Bara watagawanyika kati ya CCM, CUF, ACT
Ni nadharia mfu hizo.aliyetuwekea misingi ya upendo na kuruhusu siasa safi ni kikwete.yule mwizi wa kura na kununua/kupiga risasi wapinzani ndo aliharibu.wasiojulikana,kesi Kwa wapinzani etc etc etc.unategemea tena upinzani uwe na nguvu??
 
Huyu anayesema Chadema haina mvuto simuelewi kabisaa ...

Chadema haina mvuto vipi, wakati kauli moja tu ya Mbowe lumumba wote wanaanza kuhangaika kuitungia majibu ya uongo..

Hawana mvuto vipi, wakati kauli moja tu ya Lissu lumumba wanaanza kulia Lissu hana shukrani, eti kwasababu alipelekewa juice na Samia akiwa hospitali?

Chadema haina mvuto vipi, ikiwa kipindi cha Heche kuuchambua ule mkataba wa hovyo wa bandari kilizuiwa kurushwa hewani?

Sikilizeni nyie, mmeshakuwa watu wazima sasa, hebu wacheni kuishi kwa kujidanganya kama watoto wadogo.
 
Ulifanya kosa na nani??huo ndo unafiki.ungeleta wewe wabunge 70+ bila lowasa??
Nyerere aliwaachia ccm utaratibu unaitwa Tujisahihishe uko Chadema ni kosa kubwa kukubali makosa yenu na kujisahihisha uko kumejaa malaika ambao ni kina mbowe lissu lema mnyika hao hawajawai kufanya makosa.
Check ccm akingia kikwete ananaanza sahihisha makosa yaemkapa akiingia Samia anasahihisha makosa ya Magufuli kila awamu chama kinaonekana ni kipya ila uko chadema utaambkwa makosa ya viongozi si makosa bali akili nyingi
 
Huyu anayesema Chadema haina mvuto simuelewi kabisaa, haina mvuto vipi wakati kauli moja tu ya Mbowe lumumba wote wanaanza kuhangaika kuitungia majibu...

Hawana mvuto vipi, wakati kauli moja tu ya Lissu kumumba wanaanza kulua Lissu hana shukrani kwasababu alipelekewa juice na Samia akiwa hospitali?

Chadema haina mvuto vipi, ikiwa kipindi cha Heche kuuchambua ule mkataba wa hovyo wa bandari kilizuiwa kurushwa hewani?

Sikilizeni nyie, mmeshakuwa watu wazima, acheni kuishi kwa kujidanganya kama watoto wadogo.
Huu moto wa sasa ulivyo mkali acha tu watafute faraja za namna hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CHADEMA haijakosa mvuto hata kidogo,mikutano yao inavuta watu wengi sana.

CCM inatumia nguvu kubwa na rasilimali nyingi kuandaa mikutano yake.Mfano Mkutano wa Arusha magari yalikodishwa kusomba sehemu mbali mbali kama Karatu,Monduli,Longido,Namanga,Babati,Singida,Rombo,Machame,Kia,Korogwe,Simanjiro......Huo ulikuwa mkutano wa Arusha!.Waalimu wanalazimishwa kuhudhuria mikutano

CHADEMA wanafanya mikutano Bhukombe wananchi wanajaa bila kusombwa na magari.Sugu anafanya mikutano Mbarari anapata nyomi ya kutosha.

CHADEMA ipo imara kwasababu wanasimamia ajenda za wananchj.
 
Huyu anayesema Chadema haina mvuto simuelewi kabisaa, haina mvuto vipi wakati kauli moja tu ya Mbowe lumumba wote wanaanza kuhangaika kuitungia majibu...

Hawana mvuto vipi, wakati kauli moja tu ya Lissu kumumba wanaanza kulua Lissu hana shukrani kwasababu alipelekewa juice na Samia akiwa hospitali?

Chadema haina mvuto vipi, ikiwa kipindi cha Heche kuuchambua ule mkataba wa hovyo wa bandari kilizuiwa kurushwa hewani?

Sikilizeni nyie, mmeshakuwa watu wazima sasa, hebu wacheni kuishi kwa kujidanganya kama watoto wadogo.
Kuwa mkweli!
 
Huyu anayesema Chadema haina mvuto simuelewi kabisaa ...

Chadema haina mvuto vipi, wakati kauli moja tu ya Mbowe lumumba wote wanaanza kuhangaika kuitungia majibu ya uongo..

Hawana mvuto vipi, wakati kauli moja tu ya Lissu lumumba wanaanza kulia Lissu hana shukrani, eti kwasababu alipelekewa juice na Samia akiwa hospitali?

Chadema haina mvuto vipi, ikiwa kipindi cha Heche kuuchambua ule mkataba wa hovyo wa bandari kilizuiwa kurushwa hewani?

Sikilizeni nyie, mmeshakuwa watu wazima sasa, hebu wacheni kuishi kwa kujidanganya kama watoto wadogo.
20230731_180804.jpg


Unakumbuka mikutano ya dr slaa na kina zitto kabwe?
 
CHADEMA haijakosa mvuto hata kidogo,mikutano yao inavuta watu wengi sana.

CCM inatumia nguvu kubwa na rasilimali nyingi kuandaa mikutano yake.Mfano Mkutano wa Arusha magari yalikodishwa kusomba sehemu mbali mbali kama Karatu,Monduli,Longido,Namanga,Babati,Singida,Rombo,Machame,Kia,Korogwe,Simanjiro......Huo ulikuwa mkutano wa Arusha!.Waalimu wanalazimishwa kuhudhuria mikutano

CHADEMA wanafanya mikutano Bhukombe wananchi wanajaa bila kusombwa na magari.Sugu anafanya mikutano Mbarari anapata nyomi ya kutosha.

CHADEMA ipo imara kwasababu wanasimamia ajenda za wananchj.
20230801_070007.jpg

20230801_070040.jpg

20230801_070049.jpg

20230801_070016.jpg
 
Ni nadharia mfu hizo.aliyetuwekea misingi ya upendo na kuruhusu siasa safi ni kikwete.yule mwizi wa kura na kununua/kupiga risasi wapinzani ndo aliharibu.wasiojulikana,kesi Kwa wapinzani etc etc etc.unategemea tena upinzani uwe na nguvu??
Upinzani halisi ulipaswa kuonekana wakati wa Mwendazake. Ule wa kikwete na huu wa mama ni friendly fire. TL aliweza kusimama muda wote. Mpinzani gani anaingia makubaliano ya kutokipinga chama tawala? Kichekesho sana. Yaaani unataka kuniambia Msigwa na Freeman ni wapinzani ? Wale ni Wapenzi wa CCM. TOFAUTISHA UPINZANI NA UPENZI
 
Kwa akili ndogo na za kawaida zinaweza kusema kuwa CHADEMA Haina mvuto. Lakini kwa wanaojua siasa watakupinga sana.

Siasa haiko kwenye mikutano ya hadhara tu, Kuna mamilioni ya watu wanafuatilia Siasa hizo remotely na wanazielewa sana. Siasa ni kama upepo, Unaweza kubadilika ghafla ukashangaa Kila kitu chali.

Nyerere aliwahi kuwaasa CCM, kuwa mnabeza vyama vya upinzani kuwa ni dhaifu (havina mvuto), Lakini mkumbuke vipoo!
 
Magufulism ni ideology iliyopendwa na wananchi. Na yeyote aliyesimama against na Magufulism anakosa mvuto na support ya umma. Sad truth!
 
Ni nadharia mfu hizo.aliyetuwekea misingi ya upendo na kuruhusu siasa safi ni kikwete.yule mwizi wa kura na kununua/kupiga risasi wapinzani ndo aliharibu.wasiojulikana,kesi Kwa wapinzani etc etc etc.unategemea tena upinzani uwe na nguvu??
Upinzani huwa hauletwi na chama kilichoko madarakani na wala chma hicho huwa hakishirikiani na upinzani wowoete. Wakati wa Kikwete kulikuwa na kashfa nyingi sana kuanzia na Richmond wakati CHADEMA ilikuwa msitali wa mbele sana kuziweka kashfa hizo hadaharani kwa vielelezo. Magufuli alichukiwa na CHADEMA kwa sababu ya kufuta maovu yote ya Kikwete ambayo ndiyo iliyokuwa kete yao kuu wakati huo. Walishindwa kutafuta njia mbadala wa ushindani wakitaka kuendelea kuegemea lawama kwa CCM ya Kitwete ambazo hazikuwapo tena.
 
Back
Top Bottom