Chadema haijakosa mvuto ila Siasa za kijinga na kidkteta za mhomba wako jiwe ndo zilisababisha
Au unasahau 2020 mjomba wako jambazi alibaka uchaguzi na vitua vya kupigia kula akajaza wanajeshi wajinga akishilikiana na baba mdgo wako mabeyo au unasahau
Km mjomba wako alkua anawaogopa chadema ad kuwapiga risasi wengne kuharibu na hofodhi mali zao
Hizi nyomi za Chadema zimewawehushisha CCM hadi wanajitungia uongo tu sasaMiaka ya kuanzia 2006 CHADEMA ilikuwa na mvuto sana nchini na CCM ilikuwa inawaogopa sana. Lakini ghafla baada ya uchaguzi wa mwaka 2015 CHADEMA ikajifikia kifo cha mende; je walikosea wapi?
WEWE ni mpumbavu sana, Uislam na CHADEMA vinahusianaje?? WEWE ni mjingaChadema hakuna siasa, kuna ugaidi. Hata jina "red brigade" lilinatokana na kikundi cha kigaidi.
Chadema ni wa kuwaogopa kama ukoma na kukaa nao mbali kwa kila mpenda amani.
Kila Muislam akae mbali sana na chadema, kujiweka karibu na chadema ni kujitakia balaa, hususan kwa Waislam.
Taahira mkubwa weweChadema hakuna siasa, kuna ugaidi. Hata jina "red brigade" lilinatokana na kikundi cha kigaidi.
Chadema ni wa kuwaogopa kama ukoma na kukaa nao mbali kwa kila mpenda amani.
Kila Muislam akae mbali sana na chadema, kujiweka karibu na chadema ni kujitakia balaa, hususan kwa Waislam.
1)Mawakala wanaowakilisha vyama vya siasa wako huru kiasi gani pindi wanapoviwakilisha vyama vyao kwenye chaguzi?Kuwa mkweli!
Magufuli alikufa miaka mitatu iliyopita. Angalia mahudhurio ya mikutano ya CHADEMA leo. Hakuna mwamko wowote. Hata wakati wa uchaguzi wa 2020, CCM ilikuwa inamwamkoa sana kuliko CHADEMA. Pamoja na visingizio vyte, ni wazi kuwa kwenye uchaguzi wa 2020 CHADEMA ilikuwa imeshapoteza mvuto. Kampeini za Lissu zilikuwa ni dhidi ya Magufuli badala ya namna ya kuwahudumia watu. Leo Magufuli hauyo, amekuwa hana sera anarukia kila jambo.1)Mawakala wanaowakilisha vyama vya siasa wako huru kiasi gani pindi wanapoviwakilisha vyama vyao kwenye chaguzi?
2) pamoja na mazuri mengi ya Mh Magu,lilipokuja swala la uchaguzi,hapakuwa na uhuru na uwazi wa kutosha kwa vyama vya upinzani. Hakuwa na mswalie mtume kwenye chaguzi. Hata wenzie wa chama tawala walimpendea hapo.
Hii ilipelekea vyama vya upinzani kudhoofishwa sio KWA natural death.
Ila ungekuwa uchaguzi wa huru na haki,wapinzani hata kama wangeshindwa,sio KWA magepu take makubwa
Kweli wanatafuta faraja tupu.Huu moto wa sasa ulivyo mkali acha tu watafute faraja za namna hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Huoni aibu kufanya mambo ya Facebook hapa JF home if great thinkers? Hizo picha za maandalizi ya mikutano unawapa watu wenye akili zao katika mijadala humu wakati wameshaziona picha halisi hujisikii kuwa unaweka ujinga wako hadharani?
JokaKuu zitto junior brazaj Pascal MayallaMiaka ya kuanzia 2006 CHADEMA ilikuwa na mvuto sana nchini na CCM ilikuwa inawaogopa sana. Lakini ghafla baada ya uchaguzi wa mwaka 2015 CHADEMA ikajifikia kifo cha mende; je walikosea wapi?
Ila ndio kipindi mlivuna kwa wingi wabunge wengi na kura za Urais zilizovuja rekodi.Nikiwa mkweli CHADEMA tulifanya kosa kubwa sana kumpokea LOWASA mwaka 2015.
Na hapo ndipo kosa lilipo anzia hata kusababisha mtikisiko ndani ya chama na uongozi wa juu.
Watu kama hawana mvuto waachwe wafe naturally.Magufuli alikufa miaka mitatu iliyopita. Angalia mahudhurio ya mikutano ya CHADEMA leo. Hakuna mwamko wowote. Hata wakati wa uchaguzi wa 2020, CCM ilikuwa inamwamkoa sana kuliko CHADEMA. Pamoja na visingizio vyte, ni wazi kuwa kwenye uchaguzi wa 2020 CHADEMA ilikuwa imeshapoteza mvuto. Kampeini za Lissu zilikuwa ni dhidi ya Magufuli badala ya namna ya kuwahudumia watu. Leo Magufuli hauyo, amekuwa hana sera anarukia kila jambo.
CDM haikupata kura nyingi wala wawakilishi wengi kwa sababu ya ujio wa Lowassa. Hilo nalikataa kila siku huku, na sababu naziweka mara zote. Tena naona kama Lowassa alichangia CDM kupata kura chache kwa ujio wake.Ila ndio kipindi mlivuna kwa wingi wabunge wengi na kura za Urais zilizovuja rekodi.
Tindo JokaKuu imhotep zitto junior
Imekosa mvuto kwa ushahidi na utafiti upi?Miaka ya kuanzia 2006 CHADEMA ilikuwa na mvuto sana nchini na CCM ilikuwa inawaogopa sana. Lakini ghafla baada ya uchaguzi wa mwaka 2015 CHADEMA ikajifikia kifo cha mende; je walikosea wapi?
Upepo wa Lowassa uliibeba CDM, japo alikuwa 'liability' tu, ila kipindi kile aliwasaidia kiasi chake.CDM haikupata kura nyingi wala wawakilishi wengi kwa sababu ya ukioa wa Lowassa. Hilo nalikataa kila siku huku, na sababu naziweka mara zote. Tena naona kama Lowassa alichangia CDM kupata kura chache kwa ujio wake.
Kwa taarifa yako Lowassa ndio alitembelea upepo wa CDM, lakini kwa uchambuzi wa CCM ambao uko kiupotoshaji, wanasema ni Lowassa ndio aliwabeba CDM!Upepo wa Lowassa uliibeba CDM, japo alikuwa 'liability' tu, ila kipindi kile aliwasaidia kiasi chake.
Pascal Mayalla