Nini kilisababisha mahudhurio hafifu mechi ya Simba vs Wydad?

Nini kilisababisha mahudhurio hafifu mechi ya Simba vs Wydad?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Juzi wakati watu wanajadiliana ripoti ya mapato na makato ya mechi ya Simba na Yanga, kuna uzi nilitoa comment nikasema ile ripoti imeletwa maksudi kuiathiri Simba. Kuna mtu akanijibu kitu nikamwambia, asubiri mahudhurio ya mechi na Wydad.

Mechi ya jana ya Simba na Wydad ilikuwa na mahudhurio hafifu ukizingatia kuwa ilikuwa sikukuu, Simba ametoka kumfunga Yanga na pia umuhimu wa mechi yenyewe. Najaribu kutafakati nini kimesababisha hilo au ni muunganiko wa sababu mbalimbali na si moja.

Katika kuangalia mechi nyingine za robo fainali za CAFCL, mechi ya Simba ni kama ndiyo ilikuwa na mahudhurio madogo kuliko zote na hili ni jambo la kushangaza maana Simba imekuwa inasifika kwa mahudhurio makubwa katika mechi za CAF.

Ipi kati ya hizi unadhani ni sababu kuu?
  1. Hali ya hewa ya mvua
  2. Uchumi mgumu (na mahitaji ya sikukuu)
  3. Wasiwasi wa kupata matokeo mabaya
  4. Ripoti ya mapato na makato ya mechi ya Simba na Yanga
  5. Mfululizo wa mechi za hivi karibuni (mashabiki wamenunua sana tiketi)
  6. Uchaguzi wa Mgeni Rasmi
  7. Sababu nyinginezo (zitaje)
 
Juzi wakati watu wanajadiliana ripoti ya mapato na makato ya mechi ya Simba na Yanga, kuna uzi nilitoa comment nikasema ile ripoti imeletwa maksudi kuiathiri Simba. Kuna mtu akanijibu kitu nikamwambia, asubiri mahudhurio ya mechi na Wydad.
uni (mashabiki wamenunua sana tiketi)
  1. Uchaguzi wa Mgeni Rasmi
  2. Sababu nyinginezo (zitaje)

We ulienda uwanjani? Tuanzie hapo
 
Hali ya hewa, wengine walinunua tiketi wakashindwa kufika uwanjani.

Pili na tickets za bei ya chini ziliuzwa 5,000 (hiki ni kiwango kikubwa hasa ukiangalia na uzito wa mechi yenyewe)

Ilifaa waweke standard ile ile ya 3,000 kutokana na pilika pilika za sikukuu watu wengi walitoka out na familia zao ku spend sikukuu.

Hivyo kwa gharama ya 3,000 ingeweza kurahisisha kwa namna moja au nyingine familia ziweze ku-afford gharama kwa idadi ya watoto walionao.
 
Juzi wakati watu wanajadiliana ripoti ya mapato na makato ya mechi ya Simba na Yanga, kuna uzi nilitoa comment nikasema ile ripoti imeletwa maksudi kuiathiri Simba. Kuna mtu akanijibu kitu nikamwambia, asubiri mahudhurio ya mechi
Zote
 
Ilikua sikukuu.Tufunge siku 30 kisha tukashinde uwanjani. Big NO
 
Hali ya hewa, wengine walinunua tiketi wakashindwa kufika uwanjani.

Pili na tickets za bei ya chini ziliuzwa 5,000 (hiki ni kiwango kikubwa hasa ukiangalia na uzito wa mechi yenyewe)

Ilifaa waweke standard ile ile ya 3,000 kutokana na pilika pilika za sikukuu watu wengi walitoka out na familia zao ku spend sikukuu.

Hivyo kwa gharama ya 3,000 ingeweza kurahisisha kwa namna moja au nyingine familia ziweze ku-afford gharama kwa idadi ya watoto walionao.
Nadhani kuna cha kujifunza katika hili. Niliona hata kampeni za kuhamasisha zilianza halafu zikapoa, inawezekana walipata hayo maoni huko ground ila maamuzi yalichelewa kufanyika.

Ila binafsi nadhani hata hizo sababu zingine kwa kiasi fulani zilihusika. Sababu kuu onaweza kuwa tofauti kati ya mtu na mtu, ila sababu zingine zikajazia tu. Mfano kule Twitter na hata IG, wadau walikuwa na maoni hasi sana kuhusu chaguo la mgeni rasmi.
 
Back
Top Bottom