kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Zipo siri nyingi zimefichika katika nchi hii na hakuna anayethubutu kuzisema hadharani kwa kujiamini pengine kwa sababu hazikidhi vigezo vya kisayansi lakini zinaathiri sana baadhi ya maamuzi ya kisiasa yanayoligharimu taifa.Mifano michache ni kama;
-Kuanzishwa kwa mbio za mwenge ambako kunahusianishwa na mkuu wa wachawi maarufu kama Forojo Ganze na Tambiko lililofanywa Lindi kuikabidhi Tanzania kwa Wachawi?(chanzo jf jukwaa la Historia) Na kwa hiyo kurudi kwa Tanganyika inaonekana kama ni kujitoa katika laana ya tambiko hilo?!!!Jambo ambalo ccm hawataki litokee?
-Mabishano ya kurejeshwa kwa Tanganyika yanayotokea leo na yaliyowahi kutokea hapo nyuma.Je huenda ni kwa sababu ya mabishano ya asili ya jina lenyewe ambapo baadhi wanahusisha na ziwa Tanganyika ambako inasemwa kwamba JK Nyerere aliisusia Kigoma kutokana na imani za kishirikina?!!!(Sijui walimfanyia nini hawa jamaa)
Je ccm huenda mmelishwa ngonjera zenu kutetea muundo wa serikali mbili ili mlinde viapo vyenu kwa shetani mliyemkabidhi nchi ya Tanzania(watanzania wawe mazoba) na mna hofu Tanganyika ikirudi mtadaiwa kurudi tena kuikabidhi Tanganyika kwa gharama ya damu za watu?!!(Kwani mnajua jinsi umbulula wa watanzania mnavyofaidika nao)
Natamani kujua yaliyo nyuma ya Muungano huu tata!Maana kama ni wizi wanaweza tu kuendelea kuiba hata kama Tanganyika ikirudi na vilevile wataendelea kuuza tu rasilimali zetu kwa wazungu,waarabu na wahindi kwa sababu wametudharau.Hili suala la serikali 2 wanalikomalia vile vile kama walivyokomalia suala la mwenge!Hawana hoja yoyote ya msingi zaidi ya propaganda tu.Nini siri ya kuikataa Tanganyika?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
-Kuanzishwa kwa mbio za mwenge ambako kunahusianishwa na mkuu wa wachawi maarufu kama Forojo Ganze na Tambiko lililofanywa Lindi kuikabidhi Tanzania kwa Wachawi?(chanzo jf jukwaa la Historia) Na kwa hiyo kurudi kwa Tanganyika inaonekana kama ni kujitoa katika laana ya tambiko hilo?!!!Jambo ambalo ccm hawataki litokee?
-Mabishano ya kurejeshwa kwa Tanganyika yanayotokea leo na yaliyowahi kutokea hapo nyuma.Je huenda ni kwa sababu ya mabishano ya asili ya jina lenyewe ambapo baadhi wanahusisha na ziwa Tanganyika ambako inasemwa kwamba JK Nyerere aliisusia Kigoma kutokana na imani za kishirikina?!!!(Sijui walimfanyia nini hawa jamaa)
Je ccm huenda mmelishwa ngonjera zenu kutetea muundo wa serikali mbili ili mlinde viapo vyenu kwa shetani mliyemkabidhi nchi ya Tanzania(watanzania wawe mazoba) na mna hofu Tanganyika ikirudi mtadaiwa kurudi tena kuikabidhi Tanganyika kwa gharama ya damu za watu?!!(Kwani mnajua jinsi umbulula wa watanzania mnavyofaidika nao)
Natamani kujua yaliyo nyuma ya Muungano huu tata!Maana kama ni wizi wanaweza tu kuendelea kuiba hata kama Tanganyika ikirudi na vilevile wataendelea kuuza tu rasilimali zetu kwa wazungu,waarabu na wahindi kwa sababu wametudharau.Hili suala la serikali 2 wanalikomalia vile vile kama walivyokomalia suala la mwenge!Hawana hoja yoyote ya msingi zaidi ya propaganda tu.Nini siri ya kuikataa Tanganyika?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums