ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
- Thread starter
-
- #261
Mkemia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimewekaLazima niwasilishe taarifa kama CAG
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimeweka
Btw i've missed you .
... aiweke ndani nani atajua anatumia 'SMIRNOFF'!?Ukipata weka nyingi ndan
Smirnoff Ice inatengenezwa Tanzania na sasa ina flavour mpya, Guarana - ina ladha ya RedBullView attachment 2934499
Tanzania wakisha Anza kutengeneza [emoji23][emoji23]My favorite
Wajinga kabisa Hawa jamaa wasengereti, wananiharibia ladha yangu pendwa ya Captain Morgan spiced gold.UPDATE:
Sasa Serengeti wanazitengeneza locally kwenye kiwanda chao Moshi. Ni tamu zaidi, ina asilimia 6 badala ya 7 iliyokuwa kwenye original na packaging mpya.
View attachment 2579201
View attachment 2579202
View attachment 2579203
The best of the bests... Nikipataga 3 hadi 4 nawaka kinoma.Smirnoff Ice inatengenezwa Tanzania na sasa ina flavour mpya, Guarana - ina ladha ya RedBullView attachment 2934499
Ipi? Black au Guarana?My favorite
Pole mkuu but atleast wakitengeneza nchini zinakuwa zinapatikana kwa uhakikaWajinga kabisa Hawa jamaa wasengereti, wananiharibia ladha yangu pendwa ya Captain Morgan spiced gold.
Zina power si kitoto.The best of the bests... Nikipataga 3 hadi 4 nawaka kinoma.
Ipi? Black au Guarana?
Nilikua nazipata Shoppers kirahisi sahivi ni changamoto. Baadhi ya supermarket na mini wanazo kwa 3500 na 4000 ila Bar 5000.Zina power si kitoto.