ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
- Thread starter
-
- #61
Sasa mkuu ulitaka aagize maji? Ukijitia jeuri ya kutoa ofa inabidi ujipange kwa lolote lijalo.Dah! Haka ka Sminorff kametoboa mifuko ya wakaka! Ukienda bar ukampa binti ofa, atakwambia nakunywa Sminorff!
Kvant naweka bitter lemon na slice za tango ule mzinga unaisha kimaajabuAnakunywa nini sasa baada ya kuadimika hiki
Sijawahi kuweka slices za tango. Zina effect gaji kwenye ladha?Kvant naweka bitter lemon na slice za tango ule mzinga unaisha kimaajabu
Kimara kama unaijua njia ya kwenda king'ong'oWap uliipiga
Maduka matatu panaitwa, si ndio njia hiyo?Kimara kama unaijua njia ya kwenda king'ong'o
Zinafonza uchungu ule wa kvant na harufu inakuwa Safi sanaSijawahi kuweka slices za tango. Zina effect gaji kwenye ladha?
Panaitwa Green light ukishashuka kidaraja kama unaelekea king'ong'oMaduka matatu panaitwa, si ndio njia hiyo?
hahaha huyu anafaa.. hana gharama sana.Unamskumizia bapa na kaka kola moja.Ndio kilaji chake sasa.
Vipi na demu anayepiga bapa. Mnanunua faru john mnalishusha shot by shot.
Ila ladha si hazifanani kabisa?Kinywaji kizuri sana hiki nilikuwa mdau mkubwa ila toka vimekuwa adimu nimehamia kwny budwaiser
Zinafonza uchungu ule wa kvant na harufu inakuwa Safi sana
Hazifanani kabisaIla ladha si hazifanani kabisa?
Elf 3 na mia tano. Dah i miss itNa bei yake ilikuwa even less than Savanna. Sielewi ilikwama wapi
Me too boss... me too.Elf 3 na mia tano. Dah i miss it
uzi wa walevi huuHii kinywaji ni imported, from Kenya nadhani, by Serengeti Breweries Limited. RRP 3,000/= TZS
Ni alternative nzuri sana kwa wale wanaokunywa pombe ila hawanywi beer. Hii kitu ni lemonade flavored, toned down vodka. Colourless like water. Foamless (haina povu). Hangover-less. Simply perfect.
Hiki kinywaji hakina mpinzani. There is nothing like it. Ukiiulizia ukaikosa, there is no suitable alternative. Tumechangia sana pato la taifa kupitia hii kitu.
In the recent months za 2019, kinywaji hiki kimeadimika sokoni. Wauzaji wa liquor wanasema Smirnoff Ice imeadimika. Hata viwanja vikubwa havina hiki kiburudisho. Sio dar, sio mikoani. Ila ukivuka borders, kinapatikana vizuri tu East Africa. Juzi tu nilikuwa Kiyunga, Luuka - Uganda ndani ndani huko ambapo watu wanaongea Luganda na Busoga tu. Kiingereza mtiti. Local pubs. Ila hii kitu niliipata bila kusahau Uganda Waragi.
Cha kushangaza, hiki ni kinywaji with a very loyal following. It is truly reverred by many. Ukiniambia demand ni ndogo, napata shida kuamini
I humbly request for any info regarding this refreshment. Leo nimekitafuta nimekikosa. Labda nikijua kilichoikumba I, and many like myself, will get closure.
Sio kila mda work tu bro.kuna mda wa ku relax after work.By the way mi mwenyew ni mtu wa liquor.But ratiba zangu nazimudu sanaWabongo bana mnakuwa weledi na bidii wa vitu vidogovidogo na vya kijingajinga. Tungekuwa na bidii kama hii ya kutaka kuishi maisha mazuri na uchumi kwa kila mbongo
Fanyeni kazi aiseee
Vp smirnoff 007?Hii kinywaji ni imported, from Kenya nadhani, by Serengeti Breweries Limited. RRP 3,000/= TZS
Ni alternative nzuri sana kwa wale wanaokunywa pombe ila hawanywi beer. Hii kitu ni lemonade flavored, toned down vodka. Colourless like water. Foamless (haina povu). Hangover-less. Simply perfect.
Hiki kinywaji hakina mpinzani. There is nothing like it. Ukiiulizia ukaikosa, there is no suitable alternative. Tumechangia sana pato la taifa kupitia hii kitu.
In the recent months za 2019, kinywaji hiki kimeadimika sokoni. Wauzaji wa liquor wanasema Smirnoff Ice imeadimika. Hata viwanja vikubwa havina hiki kiburudisho. Sio dar, sio mikoani. Ila ukivuka borders, kinapatikana vizuri tu East Africa. Juzi tu nilikuwa Kiyunga, Luuka - Uganda ndani ndani huko ambapo watu wanaongea Luganda na Busoga tu. Kiingereza mtiti. Local pubs. Ila hii kitu niliipata bila kusahau Uganda Waragi.
Cha kushangaza, hiki ni kinywaji with a very loyal following. It is truly reverred by many. Ukiniambia demand ni ndogo, napata shida kuamini
I humbly request for any info regarding this refreshment. Leo nimekitafuta nimekikosa. Labda nikijua kilichoikumba I, and many like myself, will get closure.
Unfortunately yes mkuu.Wakuu, bado hii bidhaa adhimu imeendelea kuwa adimu!?