Nini kimeikumba Smirnoff Black Ice?

Bidhaa nyingi kutoka kenya zimeadkmika sana sababu serikali imeweka sheria mpya za mabadiliko ya kodi kwa hawa wafanyabiashara wanaoingiza bidhaa nchini hivyo wengi wamekimbia
Nakubaliana na wewe, mana kuna maziwa mgando yalikuwa yanatoka uko, nilikuwa nayapenda kweli ila sasa hayapo tena yamebaki ya bongo kama yamechachushwa kwenye kibuyu.
 
Asee hiyo kitu Ni tamu ,,,balaaa unalewa bill kukunja ndita,,,,Kama ulanzi wa iringa ambao umetoka kugemwa
 
Wabongo bana mnakuwa weledi na bidii wa vitu vidogovidogo na vya kijingajinga. Tungekuwa na bidii kama hii ya kutaka kuishi maisha mazuri na uchumi kwa kila mbongo


Fanyeni kazi aiseee
Mkuu mbona we huwa unafakamia k za kizungu sisi hatusemi
 
mimi nikilewa ndo usiniguse kbsaa...hahaa sipend kbs!napenda kucheza music na kulala tu! lol
Kama nakuona unavyocheza mziki kilevi dadake, unakatikia pembeni pembeni kama kaa (mdudu wa baharini) uku kalio umeliingiza ndani mgongo umeutoa nje😂😂😂😂
 
Kama nakuona unavyocheza mziki kilevi dadake, unakatikia pembeni pembeni kama kaa (mdudu wa baharini) uku kalio umeliingiza ndani mgongo umeutoa nje😂😂😂😂

😅😅!like yesternite😊!ah napenda sana kucheza aisee
 
😅😅!like yesternite😊!ah napenda sana kucheza aisee
Inapendeza kwa kweli unaenjoy hadi basi, hata mimi nina hobby na hiyo mambo ingawa hizi kazi za watu na aina ya watu ninaokutana nao inafanya inafanya niwe formal sana hadi inakera ila ningepata watu wa kuji mix, kazi na dawa, hoping ninge enjoy sana.
 


Yap yap..mm pia sinaga kampani kichwa kikijam sana ndan ya 6mths naenda kucheza ..!
 
Kuna utofauti Kati ya Smirnoff ice & Smirnoff black ice sio?
 
Tunashukuru Serikali ya awamu ya tano kuturudishia hiki kinywaji pendwa!
Bila nyie kisingerudi kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…