ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
- Thread starter
-
- #161
Bia (beer) ni aina mojawapo kati ya aina nyingi za pombe (alcohol)Wakuu wale walevi lkn pombe na beer zinatofati kwani. Hivi kwa kidhungu pombe ni alcohol sio?
Basi alcohol na beer tofauti nn. Je si utalewa ukinywa chochote kati ya hiki sio?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii kinywaji ni imported, from Kenya nadhani, by Serengeti Breweries Limited. RRP 3,000/= TZS
Ni alternative nzuri sana kwa wale wanaokunywa pombe ila hawanywi beer. Hii kitu ni lemonade flavored, toned down vodka. Colourless like water.
Tumefanyaje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walevi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hadi pombe ikiadimika mnajua .Tumefanyaje
Tunajua na tunaimissYaani hadi pombe ikiadimika mnajua .
Huku wengine hata Aina ya pombe hatujui
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tunajua na tunaimiss
Username yako yenyewe kinywaji sema kitam tamYaani hadi pombe ikiadimika mnajua .
Huku wengine hata Aina ya pombe hatujui
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani pia hii Smirnoff inakaa kundi moja na kina savana na desperado ni ciderbia (beer) ni aina mojawapo kati ya aina nyingi za pombe (alcohol)
Aina za pombe ni kama beer, cider, whiskey, gin, vodka, spirit, brandy, wine nk
Pia kuna bia zisizo na kilevi (non alcoholic beer)
Hapana mkuu hazifananiNadhani pia hii Smirnoff inakaa kundi moja na kina savana na desperado ni cider
Zimepotea tena, sahivi ni adimu aisee.SMIRNOFF BLACK ICE IS BACK!!!!
Yeah... inasikitisha ila tutafanyaje? Mpaka supermarket ununue zile za kashaZimepotea tena, sahivi ni adimu aisee.
Dah, bora hata wangeongeza bei ila ziwepo. How much does a carton go for in supermarkets?Yeah... inasikitisha ila tutafanyaje? Mpaka supermarket ununue zile za kasha
Na wewe Ni mnywaji?Sminnorf black ice----Tripple filtered,triple the thrill..
Weweeeeee!!!!
Maisha yafaa nini bila kinywaji (pombe)??Na wewe Ni mnywaji?
Last time nimeziona ilikuwa inauzwa I think 3600 chupa mojaDah, bora hata wangeongeza bei ila ziwepo. How much does a carton go for in supermarkets?
Hayafai kitu mkuuMaisha yafaa nini bila kinywaji (pombe)??
Yani mkuu lazima niitafute supermarketSminnorf black ice----Tripple filtered,triple the thrill..
Weweeeeee!!!!