Nini kimeikuta 10 Bet?

The Whistleblower

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2022
Posts
247
Reaction score
434
Kampuni ya Betting ya 10 Bet imefungwa ghafla na inaondoka Tanzania.

Sijui ni kitu gani kipo nyuma ya hili jambo.

Tafadhali tujadili.
 
Asee nilipiga bil5 kwenye jackpot yaokumbe mtaji wao wenyewe n mil 90 tu

Unadhani watafanyaje Zaid ya kufunga kwa hyo Bado nawadai bil 4.910

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makampuni ya kamali ni LAANA KWA TAIFA.

Mungu uwasamehe kwani HAWAJUI walitendalo.
 
Makampuni ya kamali ni LAANA KWA TAIFA.

Mungu uwasamehe kwani HAWAJUI walitendalo.
Unasema makampuni ya kamari ni laana wakat Vijana wanaobet kwenye kila mkeka wanalipa Kodi wewe je unalipa Nini kwa siku kama mchango kwa Taifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…