music mimi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 485
- 876
Kwa vijana wa Dar wanajua balaa la Tips ikifika ijumaa. Ni nyomi la kufa mtu plus pisi za hatari.
Sasa jana kwa mara ya pili naenda Tips saa 6 usiku nakuta papo kimya pametulia. Hata parking unapata mlangoni.
Nini kimetokea ghafla hivi? Vibe limeamia wapi party people?
Sasa jana kwa mara ya pili naenda Tips saa 6 usiku nakuta papo kimya pametulia. Hata parking unapata mlangoni.
Nini kimetokea ghafla hivi? Vibe limeamia wapi party people?