Omondi hufanya kazi kulingana na mazingira. Huwezi Kuna mengi aliyoigiza sio kuhusu tz tu.
Mfano aliigiza how to Donald Trump je Tramp ni m tz? Akija tz lazima atafanya uchekeshaji WA mada kuhusu tz ili kila mmoja aelewe na afurahi but akirudi kwao in fact hutumia English mostly. Pia hii ingekuwa fursa ya kina Joti kufanya kazi za kimataifa. Bila wivu joti yupo vizuri Sana kuliko Erick but huwa kazi Zake zimebana bongo tu ndio maana huko nnje hafahamiki Sana kama tumjuavyo Erick hapa bongo.