cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
roho mbaya na chuki ushawah mvuliaa huo mchpi wako akashindwa kukufanyaaa acheni kuhisi
Mr. The bluuzwapili nimepotea nisaidie me sijui aka ya chelsea
Mix youuuHivi hawapatan na diamond kisa nini???
Mumeweanalelewa na nani?
Jina la mojawapo ya rangiwapili nimepotea nisaidie me sijui aka ya chelsea
Hakika lisemwalo lipo.Mtoto wa watu
Hatimae wakaachia na ikapotea puuhKuweni na subira kijana kamfata yule kijana wa kariakoo ili aweze kumrudisha tena kwenye game soon kunangoma wanaachiaView attachment 408887
Me too binamuMix youuu
Pombe hiziEti wanasema jina la meneja wake wa mwanzo ndilo lilikuwa linanogesha wimbo pale linapotajwa....
"Mobeenga"
Sasa siku hizi sijui anamtajaga Lizaboni...
Ommy ni kadinda style huwezi kua rijali dem wko hajulikani atakama unanunua corner bar itajulikana tu,yeye kila cku kumsema mwanaume mwenzie utafikiria bwana yke huo ni uchoko istoshe sio leo limesemwa kua jamaa ni mchicha mwiba ni kitambo tuNdio maana umefungua uzi kumsingizia Diamonf majanga, tabu ni unampa promo kubwa sana bila kujijua.
Kwa sasa huwezi kumfananisha Diaomnd na Ommy kwa mengi.
Acheni kutafuta kiki kupitia mgongo wa Diamond, hingera fan wa Diamond I mean you.
Kama wewe unavyotumia mtandao pendwapunga
linaonekana kabisa
sikuwahi kuisikia hii...alikataa kujiunga WCB mond akamuwekea vikwazo vya kutoka kimuziki
Waarabu wa ....analelewa na nani?
Ommy ni kadinda style huwezi kua rijali dem wko hajulikani atakama unanunua corner bar itajulikana tu,yeye kila cku kumsema mwanaume mwenzie utafikiria bwana yke huo ni uchoko istoshe sio leo limesemwa kua jamaa ni mchicha mwiba ni kitambo tu