Afu kingine kikubwa ni kujifanya amekuwa mkubwa sawa na Diamond...
Maana kipindi ni marafiki wakubwa Diamond alikuwa anambeba saana akisafiri kwenda kushoot video wapo nae, mambo mengi sana alikuwa anajifunza kwa Diamond...
Sasa baada ya kuona amekua na kuanza kuvimbiana na Chibu ikawa tatizo, licha ya kupunguza upendo kwa baadhi ya mashabiki, amekosa pia maujanja ya kulishika game vizuri, anaishia anavyofanya hivisasa.. Wanaishia kusikia tu Diamond ananyimbo kaaaali 5 zenye video tayari, 3 zake 2 za kushirikishwa, haya maujanja anayakosa ommy maana watu anaoambatana nao hawampi hizo challenge, anaishia kusema ana album kadhaa kumbe ni nyimbo mbovu..