Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Victor Mugabi Wanyama, ni jina kubwa sana kwa ukanda huu wa Afrika ya Mashariki katika michezo.
Amejizolea umaarufu kama mmoja kati ya viungo bora wakabaji katika EPL kwa misimu kadhaa akiwa na Southampton kisha Spurs. Kila mmoja anajua uwezo mkubwa alionao kiungo huyu kutoka Kenya.
Kwa misimu miwili ya hivi karibuni amekuwa mchezaji wa kuwekwa benchi na kuingia dakika 10 za mwisho za.mchezo. Amekuwa akiwekwa benchi na wachezaji kama Moussa Sissoko, Eric Dier na hata wakati mwingine bwana mdogo kutoka akademi ya Spurs, Harry Winks.
Je, majeraha aliyopata kipindi cha nyuma yamegharimu nafasi yake kikosini? Je hafiti katika mfumo wa kocha Pochetinno? Au ndio uzee ushamkuta? Hivyo anashindwa kuendana na kasi ya ligi?
Karibuni kwa mjadala!
Amejizolea umaarufu kama mmoja kati ya viungo bora wakabaji katika EPL kwa misimu kadhaa akiwa na Southampton kisha Spurs. Kila mmoja anajua uwezo mkubwa alionao kiungo huyu kutoka Kenya.
Kwa misimu miwili ya hivi karibuni amekuwa mchezaji wa kuwekwa benchi na kuingia dakika 10 za mwisho za.mchezo. Amekuwa akiwekwa benchi na wachezaji kama Moussa Sissoko, Eric Dier na hata wakati mwingine bwana mdogo kutoka akademi ya Spurs, Harry Winks.
Je, majeraha aliyopata kipindi cha nyuma yamegharimu nafasi yake kikosini? Je hafiti katika mfumo wa kocha Pochetinno? Au ndio uzee ushamkuta? Hivyo anashindwa kuendana na kasi ya ligi?
Karibuni kwa mjadala!