Simchezo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 460
- 373
Wakuu, Waziri Mkuu was zamani wa Kenya, Leo alikuwa mgeni rasmi kwenye fainali za sportpesa, mara tu baada ya kikabidhi kombe kwa Kariobangi Sharks, ameonekana anataka kuanguka, ilibidi asaidiwe....Nini kimetokea mwenye taarifa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app