Nini kimesababisha Simba Queens kuwa timu mbovu ghafla?

Nini kimesababisha Simba Queens kuwa timu mbovu ghafla?

Dan Zwangendaba

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2014
Posts
5,814
Reaction score
8,118
Ni nini kimetokea mbona Simba Queens imekuwa timu mbovu ghafla? Ni huyu Kocha mpya au kuna tatizo la kiungozi? Ukiitizama Simba Queens hii na ile iliyofuzu Klabu Bingwa (siyo iliyocheza klabu Bingwa) utaona gap kubwa. Wachezaji wazito, hawako motivated, sio wakakamavu na hawako kiushindani ingawa inaonekana kuwa na wachezaji wazuri tu.

Mlio kwenye uongozi mjitafakari, Simba Queens mwenendo wa timu sio mzuri kabisa. Yanga princess haijawahi kuwa imara kwa Simba Queens kwa miaka mingi tu. Shida iko wapi?
 
Ni nini kimetokea mbona Simba Queens imekuwa timu mbovu ghafla? Ni huyu Kocha mpya au kuna tatizo la kiungozi? Ukiitizama Simba Queens hii na ile iliyofuzu Klabu Bingwa (siyo iliyocheza klabu Bingwa) utaona gap kubwa. Wachezaji wazito, hawako motivated, sio wakakamavu na hawako kiushindani ingawa inaonekana kuwa na wachezaji wazuri tu.

Mlio kwenye uongozi mjitafakari, Simba Queens mwenendo wa timu sio mzuri kabisa. Yanga princess haijawahi kuwa imara kwa Simba Queens kwa miaka mingi tu. Shida iko wapi???
Huu ni uchawi wa bumbuwazi, ni kazi ya mganga wa Yanga ambaye pia aliwahi kuwatumikia Simba wakati Manara akiwa Simba. Mganga huyu aliletwa Simba na Manara. Baada ya Manara kutimuliwa alihama na mganga wake kwa sababu ni mtu ambaye anammudu. Huyu mganga ndiyo anawapa Yanga masharti ya kwenda kutoa sadaka kwenye vituo vya watoto yatima na wazee wasiojiweza. Hata wakati akiwa Simba alikuwa anatoa masharti hayo. Kwa hiyo mkitaka Simba na Azam wafanye vizuri dawa ni kudeal na huyo mganga kwa gharama yeyote ile.
 
Ko unataka ishinde kila siku???hivi mkuu mpira gani huo?
 
Huu ni uchawi wa bumbuwazi, ni kazi ya mganga wa Yanga ambaye pia aliwahi kuwatumikia Simba wakati Manara akiwa Simba. Mganga huyu aliletwa Simba na Manara. Baada ya Manara kutimuliwa alihama na mganga wake kwa sababu ni mtu ambaye anammudu. Huyu mganga ndiyo anawapa Yanga masharti ya kwenda kutoa sadaka kwenye vituo vya watoto yatima na wazee wasiojiweza. Hata wakati akiwa Simba alikuwa anatoa masharti hayo. Kwa hiyo mkitaka Simba na Azam wafanye vizuri dawa ni kudeal na huyo mganga kwa gharama yeyote ile.
Yaani Simba ana butuliwa na Yanga kabla ya uhuru wa Tanganyika, Yanga Ina vikombe 28 vya ligi kuu Ina maana iyo miaka yote walikua wakimtumia mganga wa manara!
Mpira ni uwekezaji msipo tilia maanani uwekezaji mtakuja na visingizio visivyo Isha.
 
Ubora wao umepungua sana sijui tatizo ni mwalimu ama vipi.
Hata huyo Opah kiwango chake kimeshuka.
 
Huu ni uchawi wa bumbuwazi, ni kazi ya mganga wa Yanga ambaye pia aliwahi kuwatumikia Simba wakati Manara akiwa Simba. Mganga huyu aliletwa Simba na Manara. Baada ya Manara kutimuliwa alihama na mganga wake kwa sababu ni mtu ambaye anammudu. Huyu mganga ndiyo anawapa Yanga masharti ya kwenda kutoa sadaka kwenye vituo vya watoto yatima na wazee wasiojiweza. Hata wakati akiwa Simba alikuwa anatoa masharti hayo. Kwa hiyo mkitaka Simba na Azam wafanye vizuri dawa ni kudeal na huyo mganga kwa gharama yeyote ile.
Yanga kutoa misaada katika vituo vya watoto yatima wameanza hata kabla manara hajajiunga nao....
 
Yule kocha wa Simba queens ni MPUMBAVU, sijui walitoa wapi na kwanini walimfukuza Nkoma.

Kipindi cha Mkoma madogo walikuwa wanapiga boli kinoma
 
Ni Pesa tu Mkuu.
Simba kwa sasa haina pesa.
We angalia usajiri uliopita.
Ni cheap players ndio walisajiriwa na wanaishia kukaa bechi na kula mshahala wa bure.

Yanga kwa sasa wako very serious and committed
Mkuu nilisikia hii Simba Queen yule mlezi wake Dada yake na Mwamedi amejitoa,je ni kweli na kama ni kweli ndio sababu ya kufanya vibaya?
 
Back
Top Bottom