Nadhani kufungwa haitakuwa kipimo cha ubora wa kocha maana hata huyo Sebastian Mkoma alifungwa na Yanga Princess ya Edna Lema na bado Yanga wakamchukua kama mbadala wa LemaHuyu Kocha hana uwezo kumzidi Sebastian Mkoma. Mechi ya marudiano Simba Queens anapigwa.
Ni nini kimetokea mbona Simba Queens imekuwa timu mbovu ghafla? Ni huyu Kocha mpya au kuna tatizo la kiungozi? Ukiitizama Simba Queens hii na ile iliyofuzu Klabu Bingwa (siyo iliyocheza klabu Bingwa) utaona gap kubwa. Wachezaji wazito, hawako motivated, sio wakakamavu na hawako kiushindani ingawa inaonekana kuwa na wachezaji wazuri tu.
Mlio kwenye uongozi mjitafakari, Simba Queens mwenendo wa timu sio mzuri kabisa. Yanga princess haijawahi kuwa imara kwa Simba Queens kwa miaka mingi tu. Shida iko wapi?
ukiona timu inafungwa mfululizo ujue wachezaji hawamtaki kocha, au benchi lote la ufundi.. huo ni mgomo baridi..Ni nini kimetokea mbona Simba Queens imekuwa timu mbovu ghafla? Ni huyu Kocha mpya au kuna tatizo la kiungozi? Ukiitizama Simba Queens hii na ile iliyofuzu Klabu Bingwa (siyo iliyocheza klabu Bingwa) utaona gap kubwa. Wachezaji wazito, hawako motivated, sio wakakamavu na hawako kiushindani ingawa inaonekana kuwa na wachezaji wazuri tu.
Mlio kwenye uongozi mjitafakari, Simba Queens mwenendo wa timu sio mzuri kabisa. Yanga princess haijawahi kuwa imara kwa Simba Queens kwa miaka mingi tu. Shida iko wapi?
Kama kuna kaukweli fulani vileukiona timu inafungwa mfululizo ujue wachezaji hawamtaki kocha, au benchi lote la ufundi.. huo ni mgomo baridi..