Nini kimetokea kati ya Kenya na South Sudan?

Kivipi mkuu
Kuna probability watakaoenda huko wataenda kwa diplomatic passports sababu ya hali ya kiusalama ya nchi yenyewe

Kuna diplomatic immunity ambayo ipo kisheria kwa wafanyakazi wote wa kidiplomasia au wa mashirika ya UN na baadhi ya NGOs ambapo utapewa ulinzi na utakua na privileges ambazo mwananchi wa kawaida wa South Sudan hana kwa mujibu wa Vienna Diplomatic Convention.
 
Ebwanaee wanichukue tu
Kama ulinzi upo hakuna tatizo
Ila wa afrika sie tunajua diplomatic staff ni wazungu tu hapo ndio tatizo wanaweza kunifananisha na wajuba wenzao ikawa msala. Kumbe mie mwanadiplomasia wa watu
 
Ebwanaee wanichukue tu
Kama ulinzi upo hakuna tatizo
Ila wa afrika sie tunajua diplomatic staff ni wazungu tu hapo ndio tatizo wanaweza kunifananisha na wajuba wenzao ikawa msala. Kumbe mie mwanadiplomasia wa watu
😅😅 Ni kweli ila watakupa kitambulisho na gari utakayo tumia plate number itakuwa na rangi tofauti na characters tofauti.
 
Mtazamo wangu ni kwamba ktk siasa za kimataifa na mahusiano hautakiwi kuwa na rafiki mmoja tu au mshirika mmoja pekee hivyo bac ndio kitu sudan wanafanya sio kwamba kuna matatizo baina ya kenya na s sudan .. Na ukumbuke pia S. Sudan wanataka kujiunga EAC ss kama wanataka kujiunga EAC na wao wanafikiria ni vyema kuruhusi ushirikiano baina ya mataifa haya ya EAC
 
Mkenya hata kuishi nae ni tabu tu,anakawaida ya kuwaona wenzake kama wajinga wajinga flani hivi
 
Kwanza hakuna kabila linalopatikana south Sudan na Kenya a part from nilotics and they migrated long time ago,pili hamna muingiliano wa watu Kati ya Kenya na south Sudan , Tanzania, Ethiopia, Somalia na Uganda kuna muingiliano wa watu south Sudan hamna , tatu fahamu kuwa nchi hua na mahusiano mengi tu na south Sudan ku-sign mkataba na Tanzania does not overturn the already existing treaties. For your information Kenya has invested heavily in south Sudan and stands to benefit the most, even the tallest building in south Sudan is owned by a Kenyan,our investment is from financial, insurance, pharmaceutical, education etc and I know you are just after Kiki as usual.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ebwanaee wanichukue tu
Kama ulinzi upo hakuna tatizo
Ila wa afrika sie tunajua diplomatic staff ni wazungu tu hapo ndio tatizo wanaweza kunifananisha na wajuba wenzao ikawa msala. Kumbe mie mwanadiplomasia wa watu
Haaa haaa mzee baba utakomaa
 
Mkenya hata kuishi nae ni tabu tu,anakawaida ya kuwaona wenzake kama wajinga wajinga flani hivi
Of coz Wana tabia ya kujiona mabwana mkubwa na sio kind kihivyo nmefanya nao uchumi supamaketi
 
Wakenya ni majirani zetu ila wanatabia ya kujiona sana wanatamani kila kitu kozur kitoke kwao au kifanywe na wao miaka michache iliyopota wazir mkuu wa Tanzania alizuia mbolea inayozalishwa Tanzania kuwekwa made in Kenya kwa sababu wakenya walitoa masharti wakitaka kununua mbolea iwekwevimezalishwa kwao hii inaonyesha jinsi gan hawa jamaa walivyo wabinafsi. Hii inawakera wengine na kama ni tabia yao sio tuu wameifanya Tz itakua wanafanya na sehemu nyingine hakuna asiyetaka kitambulika kama anauwezo na kenya wanadharau wengine wanajiona wao wanaweza kuingiza bidhaa kutoka ulaya tuu nchi nyingine washirika yawe masoko yake hii itawakosti sana labda wabadilike zama zile sio hizi lazima tuwakimbie wawauzie wanao waingizia wao bidhaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekua anajua ule ushirikiano unaoendelea kati ya waKenya na waSouth Sudan hangekua anaongea upuzi kama huo.. My niece alisoma na mtoto wa rais wa South Sudan pale utawala primary.


NAIROBI, KENYA: More than 2,000 candidates from South Sudan will write this year's Kenya Certificate of Primary Education (KCPE).
Statistics from the Kenya National Examination Council (Knec) indicates that the national test will be administered to some 2,004 candidates from South Sudan.
Acting Knec Chief Executive Officer Joseph Kivilu said the candidates will sit the three-day exams in two centres – Kuda Model Primary School I and II.
"The first centre will have 1,507 candidates and the second one will have 497 candidates respectively," said Kivilu.
This is the biggest number of candidates from South Sudan that Knec has offered to examine since 2007.
They will be among the over 840,000 Kenyan candidates who will write this year's national examinations.
2,000 South Sudanese to sit KCPE : The Standard
2017 KCPE RESULTS: The Top South Sudanese students who scored 400 marks and above
 
Rais Kenyatta ako Ethiopia sahii kwa kongamano la Kenya-Ethiopia high level trade forum ambapo wame sign mkataba wa Special Status Agreement kitu ambacho Kenya haijawahi fanya na jirani mwengine yeyote.Mji wa Moyale ambao uko mpakani mwa Kenya na Ethiopia, hilo eneo lote litafanywa Free-Trade-Zone ambapo kutajengwa viwanda ambavyo vitamilikiwa 50-50 na faida itagawanywa hivyo hivyo... Which means kama kutakua na export au import ya raw materials, watatumia Lamu port.. Hapo kwa hio free trade zone itakua hakuna kulipa kodi chochote kinachotengezewa hapo kitakua bei rahisi kabisa..




Hebu angalia vile jamaa ni marafiki


https://www.facebook.com/






Pia Kenyatta alitembelea viwanda kadhaa vilivyo addis ababa








Kwahivyo acha kueneza vitu ambavyo viko akilini mwako pekee
 
Uongo mtupu! Mbolea yenu mliipachika label ya 'Made in Kenya' mkijaribu kuwahadaa wakulima wakitanzania ili wainunue. Kisa wakulima wenu walikuwa wanapenda kununua na kutumia mbolea kutoka Kenya kwasababu ya 'quality' yake. Tulifaa tuwatoze ada kwasababu ya kutumia jina la Kenya. Mnailaumu Kenya mkikosa kuwa wazalendo kwa nchi yenu?
 
Hivyo viwanda ambavyo mtamiliki 50/50 atajenga nani!? Ethiopia wakina Mo na Bakhressa wao ni wachina. Yani kama Kenya mnaona wa Ethiopia nima industrialist basi wote mmelewa kama raisi wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivyo viwanda ambavyo mtamiliki 50/50 atajenga nani!? Ethiopia wakina Mo na Bakhressa wao ni wachina. Yani kama Kenya mnaona wa Ethiopia nima industrialist basi wote mmelewa kama raisi wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kinyongo we tulia hapo kijiweni tena usisubutu kusema chochote uyaone maendeleo ya wenzako ,mtaisoma namba Kenya ni Ile ile mkaichukia wenyewe basi mtakufa Kwa kinyongo maana Kwa haya maendeleo hamtosogei hata kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo mkataba ume andaliwa Nairobi, Wa Ethiopia wame sign kama geresha ila ukweli hautekelezeki. Imeshakua habit sasa Uhuru kila nchi anayo enda anakurupuka na mikataba kutoka kwenye briefcase. China alienda na mkataba kudai China ijenge rail bure! akahisi anaeza pata deal alilopata Tz kwenye TAZARA [emoji23]. Ila hii trick ina work kuwakamata mazuzu ya Jubilee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkataba umeandaliwa adis Ababa kumbuka Ethiopia imo katika harakati ya kufungua uchumi wake na Kenya ni jirani mhimu Sana katika uchumi wa Ethiopia ,nyie pambaneni na hali yenu tumewawachia Burundi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…