Nini kimewakumba Wakenya?

Nini kimewakumba Wakenya?

supercharger GT

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2016
Posts
1,017
Reaction score
1,965
Kuna hizi habari zimekuwa zinasambaa sana kuhusu vifo vya Wakenya. Wiki hii utasikia mtu kamuua mpenzi wake, ukikaa kidogo unakutana na habari nyingine watoto wa mtu fulani wamemuua mpenzi wa mama yao, ukiendelea kushangaa unakuta tena mtu nae kajiua mwenyewe kwa sababu kanyimwa pesa na mke wake. Hawa jirani zetu wamekumbwa na kitu gani aiseee?
 
Wana uchumi wa Kati na ndo wanavyodai

Tukifika uchumi wa Kati tutawafanana
 
Jana kuna mtu.kafyeka masikio ya mke wake.Hii mijitu ina roho mbaya sana
 
Wakenya mpaka wajitambue ndio wataishi maisha yao halisi
Sasa hivi wanasifiwa na wazungu huku wanalala njaa

Jamii inayobaka kuku unainoje? They are more primitive
 
kwani si hata mwalimu alisema kenya ni nchi mtu anakula mtu ss we unashangaa nn hapo waache wafyekaneeeee hao wasomi wana tekeleza zile theory za martha bolzerap na rafiki yake wale watalaam wa population and development
 
kwani si hata mwalimu alisema kenya ni nchi mtu anakula mtu ss we unashangaa nn hapo waache wafyekaneeeee hao wasomi wana tekeleza zile theory za martha bolzerap na rafiki yake wale watalaam wa population and development
Kweli aisee
 
Back
Top Bottom