Timu hii maarufu kama wakata miwa imejizolea umaarufu kwanza kwa kuwaabisha wakongwe Simba na Yanga lakini imezalisha vipaji vingi sana vilivotamba kwenye vilabu vya Simba Yanga na Azam lakini hatimaye wanaelekea kushuka daraja nini kimetokea?
Msimu huu wamenusurika,washenzi Sana wanakaza round ya kwanza misimu yote wakiona wako salama wanaanza kuuza mechi,msimu huu walikua nusu mizimu nusu peponi
Tatizo lipo kwa uongozi wakati ligi inaanza kocha wao alikuwa timu ya taifa ya vijana walitakiwa wamwambie achague kazi moja ama TFF wamwajili au abaki Mtibwa