maridadioh
Member
- Feb 19, 2015
- 47
- 20
Habari zenu wadau.
Msaada na mawazo, kwa wakazi wa DSM mtakuwa sio wageni na haya maji. Anayejua chochote au mwenye data yoyote kuhusu kilichowatoa sokoni hawa jamaa Penguin na Pangani pure drinking water ni nini. Naomba mchanganuo apo ni nini changamoto au kuna weakness yoyote.
Karibuni wadau
Msaada na mawazo, kwa wakazi wa DSM mtakuwa sio wageni na haya maji. Anayejua chochote au mwenye data yoyote kuhusu kilichowatoa sokoni hawa jamaa Penguin na Pangani pure drinking water ni nini. Naomba mchanganuo apo ni nini changamoto au kuna weakness yoyote.
Karibuni wadau