BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,950
- 11,295
Mwaka jana nilipata habari kwa rafiki aliyekua UDOM Kua jamaa kajirusha gorofani akajiua,Chuo cha Dar es Salaam matukio ya watu kujiua ni kila mwaka,na huko st Augustine sina tarifa na kwingine kama Mzumbe,ila sababu hasa nini na katika jamii watu hujiua,.