Chapati Tatu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2024
- 338
- 740
TFF hawakusema jambo kuhusisha na ushirikina??Watakuwa walitumiwa nyuki
Kuna mtu alikuwa anatafutwa hapo nadhaniNyuki walivamia uwanjani. Hatua ya kwanza ni kupunguza urefu
Labda ila sina uhakikaKuna mtu alikuwa anatafutwa hapo nadhani
Kama ni mechi ya Yanga sina uhakika kama kweli walikuwa nyuki hao, ntapata shaka kidogo kuamini.
Inasaidia nini kupunguza urefu? Naomba nijifunze hili bro. Kwanini tunainama tukikimbizwa na nyuki?Nyuki walivamia uwanjani. Hatua ya kwanza ni kupunguza urefu
Tunainama au tunalala???Inasaidia nini kupunguza urefu? Naomba nijifunze hili bro. Kwanini tunainama tukikimbizwa na nyuki?
Kupunguza eneo la mwili linaloweza kushambuliwa: Nyuki huvutiwa na joto. Kwa kulala chini, unapunguza eneo la mwili wako linaloweza kushambuliwa na kufanya iwe vigumu zaidi kwa nyuki kukufikia.Inasaidia nini kupunguza urefu? Naomba nijifunze hili bro. Kwanini tunainama tukikimbizwa na nyuki?
Wangeamuriwa kuleta uthibitisho wangethibitisha vipi?TFF hawakusema jambo kuhusisha na ushirikina??
Nashukuru kwa elimu hii bro.Kupunguza eneo la mwili linaloweza kushambuliwa: Nyuki huvutiwa na joto. Kwa kulala chini, unapunguza eneo la mwili wako linaloweza kushambuliwa na kufanya iwe vigumu zaidi kwa nyuki kukufikia.
Kulinda uso wako na shingo: Uso na shingo ni maeneo nyeti zaidi ya mwili wako kwa kuumwa na nyuki. Kwa kulala chini, unalinda maeneo haya kwa kuyafunika kwa mikono yako au nguo.
Kupunguza uwezekano wa kuuma ndani ya pua au mdomo wako, na kusababisha uvimbe na maumivu makali. Kwa kulala chini inakua bora zaidi maana unapunguza hizo risk
Karibu sana mkuuNashukuru kwa elimu hii bro.