A
Anonymous
Guest
NI takribani wiki mbili sasa kituo cha Tiba Upanga hakitoi huduma za Bima ya afya kwa sababu zisizoeleweka. Wagonjwa tunafika na hatupewi huduma. Tukipiga NHIF 199 tunaambiwa twende vituo vingine, wakati mafaili yetu yapo pale.
Hakuna taarifa kutoka NHIF wala hapo kituoni juu ya nini kinaendelea. Juzi tu Agakhan nayo ilikuwa na mgogoro na NHIF! Kama kuna makosa wawelekeze ili wajirekebishe ama kama ni mambo ya bei wakae siti moja wazungumze.
Hakuna taarifa kutoka NHIF wala hapo kituoni juu ya nini kinaendelea. Juzi tu Agakhan nayo ilikuwa na mgogoro na NHIF! Kama kuna makosa wawelekeze ili wajirekebishe ama kama ni mambo ya bei wakae siti moja wazungumze.