buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 4,678
- 11,357
Wakuu salaamu.
Ningependa kujua ni vitu gani hufanya mradi ufadhiliwe na mashirika ya kimataifa kama UNIDO, DANIDA, UNEP.
Na je, mashirika yanasapoti kampuni binafsi zinazofanya mambo yaliyo kwenye malengo yao?.
Ningependa pia kujua ni kivipi project initiator ananufaika na huwa wanataka nini in return?.
Nitashukuru mkinisaidia na nitafurahi mkiniongezea taarifa zaidi.
Ningependa kujua ni vitu gani hufanya mradi ufadhiliwe na mashirika ya kimataifa kama UNIDO, DANIDA, UNEP.
Na je, mashirika yanasapoti kampuni binafsi zinazofanya mambo yaliyo kwenye malengo yao?.
Ningependa pia kujua ni kivipi project initiator ananufaika na huwa wanataka nini in return?.
Nitashukuru mkinisaidia na nitafurahi mkiniongezea taarifa zaidi.