Nini kinafanya wimbo kuwa no 1 trending

Jamaa kachukua Kiti kwa siku 3 pekee
kajiona wa Juu vibaya!!
Sasa ngoja tuone ndani ya mwezi nani atakuwa na Views nyingi
 
Hili gepu la views 900,000 sio la kitoto na linazidi kuongezeka views 100,000 kwa siku [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


D uuh eti bakuli kampa kipigo D!

Kipigo kipi mkuu usher

ENEKA in 1 month has 3.4 M views ( kituko ni pale Seduce me imebakisha views 600,000 kuipita ENEKA ndani ya wiki 1) [emoji23][emoji23][emoji23]

FIRE in 2 months has 2.8 M views( Seduce me KIBA 2.8 M in 5 days) [emoji23]

I miss you 2 months has 4.3 M views

Aache dharau

 
Kwel ni wcb fan wewe
 
Ila kipigo walichopewa Diamond na WCB na Seduce me
Sitegemei kama watarudia walichokifanya weekend hii tena
Kipigo Gani Mkuu.. Hivi unadhani kama isingekuwa huyo Mwanamke anayenunua Ugomvi wa watu na kutaka Umma wote uwe upande wake bila kujitoa fahamu kama mnavyosema Kibakuli Angesimama hiyo nafasi? Mbona Baada ya Huyo Kibangi kuacha kudownload video alizolazimishwa kutumia na kuforce watu wafuatilie account yake huyo kibakuli angefanikiwa hata kujulikana?

Achilia Mbali na hao Clouds FM kujiingiza kisa Kijana hataki kuwa Cheap kwenye Fiesta yao...

Tuwe wa kweli asingekuwa huyo Raia wa Kitanzania asiyekuwa na Makazi Maalum huko aliko Kibakuli wala asingesogea
 
Pale ENEKA itakapopitwa kwa views ndani ya Siku 7 lazima mnune [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado views 600,000 tu


 
Pale ENEKA itakapopitwa kwa views ndani ya Siku 7 lazima mnune [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bado views 600,000 tu


Mkuu Nguvu aliiyotumia Dada yako Mfanya Fujo huko Ughaibuni kwenye Super Market na Maduka Mbalimbali Huyo Kibakuli sijui Kibamia asingekuwa na hizo views unazozitangaza humu..Let us be realistic .. Tatizo Kibakuli anajiona Yupo Kicimshauri Kuwa Fursa aliyoipata Kibakuli enzi zile asingekuwa huyu wa kugombana na Kijana Mdogo tena Kabila Moja tena wote wanaotoka Mkoa Mmoja. Yaani Huyu Ndiye angekuwa Mshauri na Muongozaji.. Jiulize alipotelea wapi.. Unajua Show alizozifanya Huyo Kibakuli enzi hizo.. Kuna la Maana alilolifanya kupromote Mziki Wa Tz..

Mziki wa Bongo Fleva umekuja kujulikana Baada ya Dimond kufanya Kolabo na Davido....

Ni Kama Ambavyo Ray C anavyojilaumu kwa sasa kwa kushindwa kutumia fursa alizozipata kujijenga na kuishia kuwa Punda .. Leo Ray C yupo wapi na Ziara alizokuwa anazifanya nje ya Nchi kipindi kile.. Je ni sawa na Hali aliyonayo kwa sasa..

Tuwe wa Kweli Kibakuli siyo wa Kupigiwa debe na Huyo Dada yenu asiyejua atazikiwa wapi kwa kuwagombanisha watu...
 
Hahahaha eti Domo kafanya Mziki ufahamike
Hii November 2010, kipindi hiko Domo hajaona hata papuchi ya Wema
R Kelly anajua kuwa kuna Bongo flava [emoji23][emoji23][emoji23]

 
Video inayotazamwa sana ndani ya siku moja katika nchi husika.

Kwa hiyo kama jana video A ilitazamwa mara 1000 na video B mara 900
VIDEO A itakuwa 1 na B 2
Leo video A mara 1005 na video B mara 1010
Basi video B inakuwa 1
Na video A itakuwa ya 2
Naona seduce me imerudi kuwa 1 on trending
Ama kweli seduce me sio ya mchezo mchezo
Daimond kakaa hapo masaa machache tu
 
Sasa hivi ni milioni 3
Na karudi kwenye 1 on trending
 
hivi wakuu unapotazama video YouTube, sheria zinaruhusu u'view Mara ngapi ili view yako ihesabike
 
Kwani Mange sio shabiki kama mashabiki wengine??

Wimbo usipokuwa nzuri hata ukiufanyia promo namna gani hautasogea!!that's it!!
Kwaio msisingizie ooh mange nini ,,,kama ameupromo na watu wakaupokea it means ni mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…