Nini kinafichwa kwenye mapinduzi ya Zanzibar?

Nini kinafichwa kwenye mapinduzi ya Zanzibar?

mapinduzi ya zanzibar ni maandalizi yaloandaliwa nje ya zanzibar,okelo hana asili ya tanganyika wala zanzibar alijengewa historia ya uongo kuwa alikuwa anafanya kazi pemba kabla ya mapinduzi na hakuna mtu alewahi kumuona wala kuwa nae karibu ni mijitu ilizuka ikauwa wazanzibari na baada yakumali wakawapa vyama wapinzani madaraka ya serikali kwa wakati ule ambao ndio vilikuwa ASP hao kina karume na babu lakini karume alikuwa hana amri kwa vile serikali alipewa mikononi tu,mtazame okkelo alivyokuwa kwenye hio clip, yeye ndio alikuwa boss kubwa.

wao kina karume walijiingiza kwenye mapinduzi kwa kupata mteremko wa kuitwaa serikali ndio jambo walokuwa wanalipigania sana ni kushika madaraka ya serikali kwa hio waliingia kichwa kichwa na kujifanya na wao wameshiriki kwenye mapinduzi,mambo walokuwa hawayajui mwanzo wala mwisho wala hawakuyapanga, walovamia walijificha kwenye migongo ya vyama vya upinzani ili kupata uhalali wa kuua wazanzibari na kuondoa serikali ya waarabu ilokuwepo madarakani.

wakati huo kulikuwa na mfumo wa vyama vingi chama tawala cha warabu walikuwa wakijifanya wajanja kama vyama tawala vyote vinavyofanya leo, ujanja mkubwa walokuwa wakifanya ni kugawa majimbo sehemu ambazo walikuwa na watu wengi walikuwa wanakata majimbo mengi kwa kupata viti vingi na sehemu ambazo hawata watu majimbo yaklikuwa kidogo na viti vya uwakilishi vinapungua

sababu za uongo zilotumika ku-justify mavamizi(mapinduzi) yale ilikuwa ni waarabu wanawatesa waafrika huu ni uongo mtupu huyo mfalme wa zanzibar wakati ule alikuwa si muarabu safi alikuwa kama wazanzibari waliopo leo half cast,hizo zilikuwa ndio propaganda za siasa za wakati ule za kuwagawa watu kwa sababu waafrika walikuwa wengi kuliko waarabu kwa hio kupara wanachama wengi kwa siasa chafu ni kusema mnateswa na mpaka leo siasa hizo zinaendelea zanzibar ambapo ndio tuna serikali ya watu wetu waafrika ni ubaguzi mtupu,

mateso tunayopata wazanzibari saivi kwenye uhuru bandia mimi ningefurahi sana utawala wa serikali ya warabu ungekuwepo mpaka leo,kwa sababu wao walijitambua kama wazanzibari na sio wageni na walifanya maendeleo yote kwa ajili ya zanzibar yenyewe na sio nchi za waarabu. Zanzibar ingelikuwa sehemu kubwa sana kwa afrika nzima na kusingekuwa na ubaguzi wowote,mtazame babu katika hii video anavyoongea kiiengereza na alikuwa na elimu kubwa sana ambayo serikali ya zanzibar ndio walitoa elimu kwa watu wote bila ya kujali mweusi au mwarabu,wazanzibari wengi walikuwa wakiamini elimu ni ukiristo ndio hawakupata elimu. wazanzibari waarabu wengi wlikuwa hawajui kusoma na kuandika

leo tazama tulipo hatuna nchi,hatuna mali,hatuna umiliki wa chochote,chako ni chako mpaka wakikihitaji wanachukua kwa nguvu ndugu zetu hawa walioshika madaraka bila ya kujali kuwa wao na sisi ni kitu kimoja,tuna malengo mamoja
 
Leo tarehe 12 January ni Sikukuu ya Mapinduzi ya Zanzibar, nachukua nafasi hii kuwatakia nyote heri na fanaka za Mapinduzi na kukutakieni maadhimisho mema ya sherehe ya kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwa watakao shereheka kwa wale wenye kumbukumbu njema, na kwa vile Mapinduzi Matukufu yale pia yaliandamana na umwagaji damu, natoa pole kwa wenye kumbukumbu chungu.
P
 
Wana bodi, japo tuko kwenye harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge, kuna swali linanitatiza kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambapo majibu yake sahihi, pia yanaweza kuwa ni kiashiria tosha cha mshindi wa urais wa Zanzibar, iwapo uchaguzi utakuwa huru na wa haki.

Swali hili lahusu ukweli haswa kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 12, 1964, baada ya kuibuka kwa kitabu kingine kiitwacho "Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru"
View attachment 2077603
kilichoandikwa na Mwanazouni wa Zanzibar, Dr. Harith Ghassany, kama kilivyofanyiwa mapitio na mwandishi Mohamed Said kwenye gazeti la Al-Nuur la leo.

Ghasanny anasema kumbe Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalitekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde (Wakata Mkonge) ambao waliongozwa na Mzee Mohamed Omar Mkwawa (Tindo) chini ya Amiri Jeshi wa jeshi la mamluki hao Victor Mkello (RIP). (kumbe amiri jeshi hakuwa Mganda John Okello pekee, bali pia Mkello yumo?!.

Mamluki hao walitumia zana zao za kukatia mkonge, zile sime za makali kuwili, walizisunda kwenye nguo zao za ndani na kusafirishwa kwa mitumbiwi usiku usiku kupitia Kipumbwi. Jee wale mashuhuda wa Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, wanayakubali haya?.

Pia mwandishi anamalizia kwa kusema hata mauaji ya Karume, hayakutekelezwa na wapinga Mapinduzi, bali ni miongoni mwa hao hao wanamapinduzi, baada ya kupishana kauli fulani fulani za uendeshaji wa Zanzibar baada ya Mapinduzi.

Nimesoma kitabu cha John Okello kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar,
View attachment 2077618
yeye anasema yake, vitabu kadhaa vya waandishi wazungu wanasema yao, historia tukuka ya Mapinduzi Matukufuya ya Zanzibar nayo nayo inasema kivyake, hivi hakuna any straight line yoyote kuhusu Mapinduzi hayo, ya Zanzibar?.
Jee yalipangwa na nani? Yalitekelezwaje?.
Nini haswa kilichotokea usiku ule wa Januari 11?.
Nani alifanya nini wapi?
Na mwisho tuzungumzie wafaidika wa Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar na bila kuwasahau wahanga wa Mapinduzi hayo ambao kwako yatakuwa sio Matukufu, ni kina nani haswa?, na kama kuleta amani na utangamano wa Zanzibar kuhusu Mapinduzi hayo kutahitajika kuundwa kwa Tume ya Ukweli na Upatanisho, "Truth and Reconciliation Commission" ili waliohasimiana kutokana na Mapinduzi hayo, wapatanishwe kwa maslahi mapana ya Zanzibar?.

Majibu ya maswali haya yatasaidia kujua mustakabali wa matokea ya uchaguzi wa Zanzibar kudhirihisha kuwa Wazanzibari ni wamoja, hakuna kundi la walishiriki Mapinduzi ndio wenye uhalali zaidi kuitawala Zanzibar kuliko wasioshiriki, after all kumbe Mapinduzi yenyewe, yametekelezwa na askari mamluki wa Kimakonde, toka mashamba ya mkonge Tanga!.

Pasco
Rejea za Mwandishi huyu kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  1. Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1
  2. Neno "Matukufu" Katika Mapinduzi ya Zanzibar, Lilitoka Wapi, na Yana Utukufu Gani?!,
  3. Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari
Tarehe kama ya leo 11/01/1964 miaka 60 iliyopita, ndio Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalifanyika!. Alfajiri ya Tarehe 12 Januari, 1964 ilikuwa ni kutangazwa tuu!.

Nawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Paskali
 
mapinduzi ya zanzibar ni maandalizi yaloandaliwa nje ya zanzibar,okelo hana asili ya tanganyika wala zanzibar alijengewa historia ya uongo kuwa alikuwa anafanya kazi pemba kabla ya mapinduzi na hakuna mtu alewahi kumuona wala kuwa nae karibu ni mijitu ilizuka ikauwa wazanzibari na baada yakumali wakawapa vyama wapinzani madaraka ya serikali kwa wakati ule ambao ndio vilikuwa ASP hao kina karume na babu lakini karume alikuwa hana amri kwa vile serikali alipewa mikononi tu,mtazame okkelo alivyokuwa kwenye hio clip, yeye ndio alikuwa boss kubwa.

wao kina karume walijiingiza kwenye mapinduzi kwa kupata mteremko wa kuitwaa serikali ndio jambo walokuwa wanalipigania sana ni kushika madaraka ya serikali kwa hio waliingia kichwa kichwa na kujifanya na wao wameshiriki kwenye mapinduzi,mambo walokuwa hawayajui mwanzo wala mwisho wala hawakuyapanga, walovamia walijificha kwenye migongo ya vyama vya upinzani ili kupata uhalali wa kuua wazanzibari na kuondoa serikali ya waarabu ilokuwepo madarakani.

wakati huo kulikuwa na mfumo wa vyama vingi chama tawala cha warabu walikuwa wakijifanya wajanja kama vyama tawala vyote vinavyofanya leo, ujanja mkubwa walokuwa wakifanya ni kugawa majimbo sehemu ambazo walikuwa na watu wengi walikuwa wanakata majimbo mengi kwa kupata viti vingi na sehemu ambazo hawata watu majimbo yaklikuwa kidogo na viti vya uwakilishi vinapungua

sababu za uongo zilotumika ku-justify mavamizi(mapinduzi) yale ilikuwa ni waarabu wanawatesa waafrika huu ni uongo mtupu huyo mfalme wa zanzibar wakati ule alikuwa si muarabu safi alikuwa kama wazanzibari waliopo leo half cast,hizo zilikuwa ndio propaganda za siasa za wakati ule za kuwagawa watu kwa sababu waafrika walikuwa wengi kuliko waarabu kwa hio kupara wanachama wengi kwa siasa chafu ni kusema mnateswa na mpaka leo siasa hizo zinaendelea zanzibar ambapo ndio tuna serikali ya watu wetu waafrika ni ubaguzi mtupu,

mateso tunayopata wazanzibari saivi kwenye uhuru bandia mimi ningefurahi sana utawala wa serikali ya warabu ungekuwepo mpaka leo,kwa sababu wao walijitambua kama wazanzibari na sio wageni na walifanya maendeleo yote kwa ajili ya zanzibar yenyewe na sio nchi za waarabu. Zanzibar ingelikuwa sehemu kubwa sana kwa afrika nzima na kusingekuwa na ubaguzi wowote,mtazame babu katika hii video anavyoongea kiiengereza na alikuwa na elimu kubwa sana ambayo serikali ya zanzibar ndio walitoa elimu kwa watu wote bila ya kujali mweusi au mwarabu,wazanzibari wengi walikuwa wakiamini elimu ni ukiristo ndio hawakupata elimu. wazanzibari waarabu wengi wlikuwa hawajui kusoma na kuandika

leo tazama tulipo hatuna nchi,hatuna mali,hatuna umiliki wa chochote,chako ni chako mpaka wakikihitaji wanachukua kwa nguvu ndugu zetu hawa walioshika madaraka bila ya kujali kuwa wao na sisi ni kitu kimoja,tuna malengo mamoja
Mkuu una hoja nzito sana.
 
Leo tarehe 12 January ni Sikukuu ya Mapinduzi ya Zanzibar, nachukua nafasi hii kuwatakia nyote heri na fanaka za Mapinduzi na kukutakieni maadhimisho mema ya sherehe ya kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwa watakao shereheka kwa wale wenye kumbukumbu njema, na kwa vile Mapinduzi Matukufu yale pia yaliandamana na umwagaji damu, natoa pole kwa wenye kumbukumbu chungu.
P
Kumbe damu zilimwagika sana?
 
mapinduzi ya zanzibar ni maandalizi yaloandaliwa nje ya zanzibar,okelo hana asili ya tanganyika wala zanzibar alijengewa historia ya uongo kuwa alikuwa anafanya kazi pemba kabla ya mapinduzi na hakuna mtu alewahi kumuona wala kuwa nae karibu ni mijitu ilizuka ikauwa wazanzibari na baada yakumali wakawapa vyama wapinzani madaraka ya serikali kwa wakati ule ambao ndio vilikuwa ASP hao kina karume na babu lakini karume alikuwa hana amri kwa vile serikali alipewa mikononi tu,mtazame okkelo alivyokuwa kwenye hio clip, yeye ndio alikuwa boss kubwa.

wao kina karume walijiingiza kwenye mapinduzi kwa kupata mteremko wa kuitwaa serikali ndio jambo walokuwa wanalipigania sana ni kushika madaraka ya serikali kwa hio waliingia kichwa kichwa na kujifanya na wao wameshiriki kwenye mapinduzi,mambo walokuwa hawayajui mwanzo wala mwisho wala hawakuyapanga, walovamia walijificha kwenye migongo ya vyama vya upinzani ili kupata uhalali wa kuua wazanzibari na kuondoa serikali ya waarabu ilokuwepo madarakani.

wakati huo kulikuwa na mfumo wa vyama vingi chama tawala cha warabu walikuwa wakijifanya wajanja kama vyama tawala vyote vinavyofanya leo, ujanja mkubwa walokuwa wakifanya ni kugawa majimbo sehemu ambazo walikuwa na watu wengi walikuwa wanakata majimbo mengi kwa kupata viti vingi na sehemu ambazo hawata watu majimbo yaklikuwa kidogo na viti vya uwakilishi vinapungua

sababu za uongo zilotumika ku-justify mavamizi(mapinduzi) yale ilikuwa ni waarabu wanawatesa waafrika huu ni uongo mtupu huyo mfalme wa zanzibar wakati ule alikuwa si muarabu safi alikuwa kama wazanzibari waliopo leo half cast,hizo zilikuwa ndio propaganda za siasa za wakati ule za kuwagawa watu kwa sababu waafrika walikuwa wengi kuliko waarabu kwa hio kupara wanachama wengi kwa siasa chafu ni kusema mnateswa na mpaka leo siasa hizo zinaendelea zanzibar ambapo ndio tuna serikali ya watu wetu waafrika ni ubaguzi mtupu,

mateso tunayopata wazanzibari saivi kwenye uhuru bandia mimi ningefurahi sana utawala wa serikali ya warabu ungekuwepo mpaka leo,kwa sababu wao walijitambua kama wazanzibari na sio wageni na walifanya maendeleo yote kwa ajili ya zanzibar yenyewe na sio nchi za waarabu. Zanzibar ingelikuwa sehemu kubwa sana kwa afrika nzima na kusingekuwa na ubaguzi wowote,mtazame babu katika hii video anavyoongea kiiengereza na alikuwa na elimu kubwa sana ambayo serikali ya zanzibar ndio walitoa elimu kwa watu wote bila ya kujali mweusi au mwarabu,wazanzibari wengi walikuwa wakiamini elimu ni ukiristo ndio hawakupata elimu. wazanzibari waarabu wengi wlikuwa hawajui kusoma na kuandika

leo tazama tulipo hatuna nchi,hatuna mali,hatuna umiliki wa chochote,chako ni chako mpaka wakikihitaji wanachukua kwa nguvu ndugu zetu hawa walioshika madaraka bila ya kujali kuwa wao na sisi ni kitu kimoja,tuna malengo mamoja
Mwinyi Mkuu ndio Sultan wa kwanza wa Zanzibar kabla ya kuja kwa Waarabu na alikua Mweusi, emu sema na sasa Mapinduzi yana faida na Muungano una faidi hili utalisikia kwa Zanzibar waliosoma na wakaishi pande zote mbili watakwambia Zanzibar inalindwa na Tanganyika na hio ndio ilikua Formula

Sababu historia inaongea waafrika hawakuishi Zanzibar baada ya Waarabu waafrika wamekua wanaishi Zanzibar zaidi ya miaka 30,000 iliyopita kabla ya ujio wa Waarabu, Wazungu na Warumi kwanini usijivunie cha kwako ukakijenga?
 
Ila historia ni ndefu, Wapemba wanakwambia chanzo cha Mapinduzi ni pale mwarabu alipokabidhi madaraka kamili kwa mpemba bwana Mohammed Shamte waunguja wakalianzisha vagi front akawekwa Okelo kutoka Uganda
Baada ya kusoma uzi huu nimepitia vyanzo kadhaa kuhusu Mapinduzi.

Nikiri kabisa kwa umri wangu huu nilikuwa sifahamu chochote kuhusu Mapinduzi ta Zanzibar.
 
Tarehe kama ya leo 11/01/1964 miaka 60 iliyopita, ndio Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalifanyika!. Alfajiri ya Tarehe 12 Januari, 1964 ilikuwa ni kutangazwa tuu!.

Nawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Paskali
Kwanini yaitwe matukufu, kuna utukufu gani hapo, katika umwagaji damu?
 
Haya ni mahojiano yaliyofanyika muda mfupi baada ya mapinduzi ya zanzibar.

Sikiliza mahojiano ya Karume, Babu na Okello ( mapinduzi ya zanzibar haya kuwahusisha wanasiasa )



Mohamed Said Pascal Mayalla
Wajomba wa samia walichinjwa kama mbuzi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nisiku za kupendeza sana siyo hawa waisiharamu tulio nao sasa wanao muabudu muarabu na wakristo wanao muabudu muisrael....hii ndiyo sababu samia anamchukia sana Karume na nyerere kuliko magufuli na kwa sasa samia yupobioni kumrudishia muarabu nyani wake.
 
Haya ni mahojiano yaliyofanyika muda mfupi baada ya mapinduzi ya zanzibar.

Sikiliza mahojiano ya Karume, Babu na Okello ( mapinduzi ya zanzibar haya kuwahusisha wanasiasa )



Mohamed Said Pascal Mayalla

Nimefurahishwa na majibu ya Okello. Mungu wa waafrika ndiye alikuwa nyuma ya nguvu aliyokuwa nayo. Naona, Ndugu zetu wa kaskazini (Ulaya) hawafurahishwi na Mungu Wetu wanafanya Kila Hila kutusahaulisha huyu Mungu. Tumeyaona Hata wakati wa COVID-19!!!
 
Back
Top Bottom