mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Powa mkuu ukinihitaji utanitafuta kwa pm.chapchap nmeona mwanasheria na mtu wa finance siezi kuwakwepa
pesa angu ni ndogo so baadhi ya vitu inabidi nshikilie mwenyewe ila
nmejifunza sana leo shukran mkuu
Nisingependa kuita dharau,Siku moja niliwahi kupata suluhisho la tatizo langu muhimu sana hapa JF kwa thread ilioanzishwa na mtu mmoja akihitaji kusaidiwa tatizo lililofanana na langu.No tunaogopa kutumia nguvu nyingi na kuchosha akili kwa mtu ambaye hata mtaji wa milioni 5 hana.
Sent using Jamii Forums mobile app
shukrani mkuu atlist huku naeza kuchagua nnachokitaka
Tayari nishamsaidia,that was just a joking.Nisingependa kuita dharau,Siku moja niliwahi kupata suluhisho la tatizo langu muhimu sana hapa JF kwa thread ilioanzishwa na mtu mmoja akihitaji kusaidiwa tatizo lililofanana na langu.
Inawezekana mtoa mada akawa hana hata mtaji wa 5m kama unavyosema lakini hemu kuwa na imani kwamba yupo mwingine mwenye mtaji wa 2b anahitaji msaada wako.